bright pledge 255
Senior Member
- Aug 15, 2022
- 140
- 172
Nimemeliza clinical medicine mwaka jana chuo kipo kanda ya ziwa, nawezaje kupata transcript ili nifate leseni Dodoma.
Transcript inatolewa na chuo husika uliposoma.Nimemeliza clinical medicine mwaka jana chuo kipo kanda ya ziwa, nawezaje kupata transcript ili nifate leseni dodoma
asante ngoja nichekiIngia kwenye tovuti ya Nactvet utapata muongozo huko..
Sio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipoTranscript inatolewa na chuo husika uliposoma.
asante ndugu, waweza nidokeza kidogo details wanazotaka kujaza ili nizicollectSio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipo
Baada ya kulupia mm nilikaa wiki moja nikapigiwa sim nikaenda mby zonal office kuchukua
All i know transcript ni ile inaonesha masomo yako na ufaulu hua inaambatana na cheti chako husika na inatolewa chuo na pia inalipiwa.Sio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipo
Baada ya kulupia mm nilikaa wiki moja nikapigiwa sim nikaenda mby zonal office kuchukua
Utaratibu ni huo aliokuambia jamaa..unaomba online unalipia elfu 10 kama unachukulia Dar es salaam na elfu 15 kama nje ya Dar na baada ya wiki 1 au 2 utapigiwa au kutumiwa ujumbe ukafuate.All i know transcript ni ile inaonesha masomo yako na ufaulu hua inaambatana na cheti chako husika na inatolewa chuo na pia inalipiwa.
So this is something new am hearing