Nawezaje Kumiliki Nyumba ya Ghorofa?

Kama simple tafuta kama million 70 ujenge floor ya mbili na moja ya kwanza uiweke safi then fanya kuhamia ,huku unaboresha floor ya pili.
 
Kama simple tafuta kama million 70 ujenge floor ya mbili na moja ya kwanza uiweke safi then fanya kuhamia ,huku unaboresha floor ya pili.
Mkuu hiyo hela hata floor 1 haitoshi. Nondo ziko juu ni balaa. Halafu inategemeana na eneo la ujenzi. Maeneo mengine huenda hiyo 70m ni msingi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom