Kwauelewa wangu (sina uhakika) ili ufungue account PayPal lazima watahitaji taarifa zako nyingi, kuanzia unapoishi, namba ya account ya bank, security number (itoshe kusema taarifa za bank kwaujumla) jina lako halisi, email, birthday. Taarifa zote hizi wanazihitaji ili kuku_verify wewe kama mteja wao. Ukishajaza taarifa zote, wanatuma taarifa kwenye email kwauthibitisho zaidi.
Nenda katika kitufe cha signup kisha jaza kwa usahihi bila kuafikiana na taarifa na benk yako.Utakapojaza card yako ya bank watakata $1 ili uweze kuveryfy itahitajika upate code ambazo zitakuwa katika bank statement ya huo muamala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.