Denatus liberatus
Member
- May 27, 2021
- 11
- 4
Habari mimi nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3 na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.
Competition imekua kubwa sana now days, lkn ucijali mtangulize MUNGU utafanikiwa.Habari mm nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.
Nimeangalia wanasema GPA 3.0 na ufaulu wa D tano kwenye masomo yasiyo ya diniCompetition imekua kubwa sana now days, lkn ucijali mtangulize MUNGU utafanikiwa.
Watu wenye ufaulu zaidi ya hizo cut points wapo wengi sana, lakini ucijali kama una nia ukimtanguliza MUNGU utafanikiwa..Nimeangalia wanasema GPA 3.0 na ufaulu wa D tano kwenye masomo yasiyo ya dini
Habari mimi nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3 na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.

St.joseph mwaka huu hawana ila St.francis Ifakara 😁 nilipata connection ya admission officer akasema watashughulikia jambo hilo kabla ya application za mwaka huu kuanza maana saivi pale wapo MD 1 tu intake ya mwaka jana hakuna MD za juu😁Humu sijaona St.Francis (Ifakara campus) wala St.Joseph (boko campus), mwaka huu MD imefutwa kwao nini?
Dogo unasoma sana kuna mshikaji wangu Olevel alikuwa na div 2 hlf diploma 3.5 akapata Bugando last yr sema kwa vyuo vya serikali competition ipo juu sanaHabari mimi nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3 na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.
Ngoja nijiandae Kufanya application mwaka huu make nimepitia web st yao nimeona vigezoDogo unasoma sana kuna mshikaji wangu Olevel alikuwa na div 2 hlf diploma 3.5 akapata Bugando last yr sema kwa vyuo vya serikali competition ipo juu sana
Nisaidie no ya huyo admission officer inbox plzSt.joseph mwaka huu hawana ila St.francis Ifakaranilipata connection ya admission officer akasema watashughulikia jambo hilo kabla ya application za mwaka huu kuanza maana saivi pale wapo MD 1 tu intake ya mwaka jana hakuna MD za juu
![]()
Kwani clinical medicine umemaliza mwaka gnNgoja nijiandae Kufanya application mwaka huu make nimepitia web st yao nimeona vigezo
Kadri ya TCU guidebook ya 2021/2022.jamani samahani nimeangalia zile jedwali sijaelewa vizuri hivi MD ukiwa umetoka form six faulu yake iweje? upate division ngapi mwisho na passes ziweje?
Mwaka janaKwani clinical medicine umemaliza mwaka gn