Hakuna Wanapouza gari kwa mkopo, wala neno gari la mkopo lisikusumbue,Wazee habar zenu
Wap naweza nunua gari Kwa mkopo
Nilipee milion 4 alafu iliobak nalipa kila mwezi
Kuna kampuni iko makumbusho wanakuagizia gari unalipa aslimia 40% then 60%. Unalipa ndani ya miezi 12Wazee habar zenu
Wap naweza nunua gari Kwa mkopo
Nilipee milion 4 alafu iliobak nalipa kila mwezi
Tupe muongozoKuna kampuni iko makumbusho wanakuagizia gari unalipa aslimia 40% then 60%. Unalipa ndani ya miezi 12
Ngoja tusubiri huo muongozo...gari ya 10m unanunua kwa 15m...mikopo kwa TZ maana yake ni make super profitTupe muongozo
Nenda Instagram search jamaa wanajiita sclt hapo wanauza magari kwa mkopo unalipa kwa installation. Wapo Benjamin mkapa tower kwa uoande wa ofisi zao. Kila la heriWazee habari zenu
Wapi naweza nunua gari kwa mkopo?
Nilipe milioni 4 halafu iliyobaki nalipa kila mwezi.
Mkuu unajua jina la hii company na namba yao?Kuna kampuni iko makumbusho wanakuagizia gari unalipa aslimia 40% then 60%. Unalipa ndani ya miezi 12
Ziko nyingi search instagram sclt_smart utawakuta. Unalipa 50% iliyobaki unalipa hadi miaka miwili.Mkuu unajua jina la hii company na namba yao?
njoo tupo sinza unaweza lipia kwa mwaka mpaka miaka miwili na gar unachagua yard yetu au tunakuagiziaWazee habari zenu
Wapi naweza nunua gari kwa mkopo?
Nilipe milioni 4 halafu iliyobaki nalipa kila mwezi.