Naweza kujifunza wapi lugha ya Kiarabu?

Naweza kujifunza wapi lugha ya Kiarabu?

Mnyampaa msingida

Senior Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
180
Reaction score
54
Nina tamaa ya kujifunza lugha ya kiarabu. naombeni msaada wa wanajukwaa je kozi ya lugha ya kiarabu inatolewa sehemu gani kwa hapa Dar?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Nina tamaa ya kujifunza lugha ya kiarabu. naombeni msaada wa wanajukwaa je kozi ya lugha ya kiarabu inatolewa sehemu gani kwa hapa Dar?
Sehemu ziko nyingi,lakini ya urahisi kukuelekeza ni pale Msikiti wa Magomeni mataa.
 
Vuka Bahari au ulizia waungwana wa Bagamoyo Kaole nawaona wako wengi sana
Nina imani uwenda ukapata msaada tena watu wa uko ni waungwana sana,
Mungu awazidishie kila la kheri kwao...
 
MBOBA SEHEMU ZIKO NYINGI TU ZA MAFUNZO YA KIARABU KAKA.
KAMA VP NJOO UNIVERSITY OF DODOMA PIA WANATOA DEGREE YA ARABIC LANGUAGE MIAKA MITATU
AU

NENDA PALE MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO (MUM) PIA IPO MKUU
 
njia rahisi ya kujua kiarabu basically inaweza kuwa karibu na hizo jamii
kuna maneno mengi ya kiswahili ukitia bidii hutakosa kujua
 
Back
Top Bottom