Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
Naomba msaada,
Memory card yangu imekataa kusoma kwenye simu inataka niformat nimeweka kwenye pc inasema hivyo hivyo ninachotaka kujua nikitaka kuformat inasema itafuta all data sasa je hizi data niwezaje kuzihamisha manake ina data za muhimu sana
Memory card yangu imekataa kusoma kwenye simu inataka niformat nimeweka kwenye pc inasema hivyo hivyo ninachotaka kujua nikitaka kuformat inasema itafuta all data sasa je hizi data niwezaje kuzihamisha manake ina data za muhimu sana