Naweza kubadilisha chuo

ant robbery

Senior Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
111
Reaction score
53
wakuu za jion kwa jina naitwa noel . nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kinacho itwa Cavendish univasity Uganda . na pia mm ni mwajiliwa selikalin so niliomba luhusa ya kusoma nikakataliwa .sasa wakubwa naomba kujua Kama nitaweza kubadilisha chuo kutoka icho chuo cha Uganda na kusoma labda open university au chuo chochot Tanzania au nifanyaje ushauli plz na nilichaguliwa kusoma bachelor of science in computer science

msaada plz nawasilisha
 
oya kwaiyo Uzi wangu huu amuuoni au ubinafsi tu ok pow nashukuluni
 
Nahisi wamekunyima ruhusa ya kwenda kusoma maana hujui kutofautisha kati ya R & L. Jifunze kwanza matamshi ndio utapata ruhusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…