Kwahyo anasoma degree??
ARTS???:decision: KAMA UKO VIZURI KWENYE MAHESABU, UCHUMI NA BOOK KEEPING NJOO BABA.... KUNA WATU WALIOSOMEA ARTS WANAJUTA KUISOMEA HIYO COURSE SABABU WALIJUA NI MTEREMKO TU WAKAKUTA MAHESABU,UCHUMI NA BOOK KEEPING ZA KUTOSHA...ILA NISIKUKATISHE TAMAA VIGEZO UNAVYO NJOO,, UKIONA MZIKI MZITO JARIBU ''ANY ARTS RELATED COURSE'' :hand:.......
arts???:decision: Kama uko vizuri kwenye mahesabu, uchumi na book keeping njoo baba.... Kuna watu waliosomea arts wanajuta kuisomea hiyo course sababu walijua ni mteremko tu wakakuta mahesabu,uchumi na book keeping za kutosha...ila nisikukatishe tamaa vigezo unavyo njoo,, ukiona mziki mzito jaribu ''any arts related course'' :hand:.......
soko la ajira liko vipi kwa hiyo kozi,
usitishe watu kwanza chuo hamna bookeping ila ni part of accounting principles zen kwa chuo kawaida me nipo pale second year bba mwache awe huru na mkopo km unanyota ya lowasa sahau hata km kwenu ni mtoto wa pinda
kitaeleweka tuu,,,, halafu nimemwambia kama ana vigezo aende,,, ila kama mziki mzito asiende... Halafu wew uko pale nit,, unajua course inayokibeba chuo???