NAWAZA TU KWANINI MALENGO HUWA HAYATIMII

NAWAZA TU KWANINI MALENGO HUWA HAYATIMII

thatone

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
365
Reaction score
196
Habari wana jf....
Hivi kwanini mahusiano mengi huwa hayatimizi malengo yake? mfano unakuta watu wamekaa katika uchumba zaidi ya 6,7,8,10+ lakini hawaoani ...Unakuta me/ke anakuja kuolewa na mtu tofauti kabisa ambaye wamekaa kwenye uchumba miezi kadhaa au mwezi kabisa lakini ndoa inafungwa..Au me/ke anakuwa na wachumba zaidi ya mmoja lakin haoi/ haolewi na yeyote kati yao [emoji848]


Mi nahisi wengi wanaoa / kuolewa kwa sababu ya external factors na ndo maana ndoa nyingi siku hizi hazidumu. Mwngne anaoa/ kuolewa kwa sababu fulani kafanya vile... Mwngne kwa sababu ya jamii itamchukuliaje wenzake wanaoa/ kuolewa yeye yupo tu... nahisi hii ndo inachangia sana watu kutotimiza malengo yao..kwa sababu ya kuharakia maisha [emoji817]
 
'Ngamare' hili neno alipenda kulitumia mama yangu dhidi ya mtu mwenye kuweza kufanya mambo mengi kama wewe.

Unajiuliza na kujijibu.

Thread closed.....
Ndo maan huwa kuna aina tofauti za kujib maswali majib hayaezi kuw sawa [emoji108]
 
Kitendo cha kukaa mapenzini miaka 2 uchumba 3 tayari mshaishi na mmechokana sana....mfunge ndoa mgundue nini kwa mfano.Ndo maana watu huishia kufunga ndoa jumamosi jumatatu talaka...mchosho washakinaiana.
 
Kitendo cha kukaa mapenzini miaka 2 uchumba 3 tayari mshaishi na mmechokana sana....mfunge ndoa mgundue nini kwa mfano.Ndo maana watu huishia kufunga ndoa jumamosi jumatatu talaka...mchosho washakinaiana.
Atleast wew unamajib tofaut [emoji108]
 
Yaan mambo yako na mtu ulomueka id haviendan kabsa....Ulitakiw uwe smart kana yey from dressing to mind sts
huyo mtu unajuaje kama ni smart kwenye mavazi hadi akili? Au haujui historia yake?.

Jitahidi kusoma vitabu.
 
Yaan mambo yako na mtu ulomueka id haviendan kabsa....Ulitakiw uwe smart kana yey from dressing to mind sts
Achana na huyo mtoto. Ukishaona mtu ana andika ktk mitandao ya kijamii maneno kama 'mama yangu', au 'baba yangu' and that sort of thing, ujue huyo ni mtoto; kajichanganya tu hapa JF!
 
Habari wana jf....
Hivi kwanini mahusiano mengi huwa hayatimizi malengo yake? mfano unakuta watu wamekaa katika uchumba zaidi ya 6,7,8,10+ lakini hawaoani ...Unakuta me/ke anakuja kuolewa na mtu tofauti kabisa ambaye wamekaa kwenye uchumba miezi kadhaa au mwezi kabisa lakini ndoa inafungwa..Au me/ke anakuwa na wachumba zaidi ya mmoja lakin haoi/ haolewi na yeyote kati yao [emoji848]


Mi nahisi wengi wanaoa / kuolewa kwa sababu ya external factors na ndo maana ndoa nyingi siku hizi hazidumu. Mwngne anaoa/ kuolewa kwa sababu fulani kafanya vile... Mwngne kwa sababu ya jamii itamchukuliaje wenzake wanaoa/ kuolewa yeye yupo tu... nahisi hii ndo inachangia sana watu kutotimiza malengo yao..kwa sababu ya kuharakia maisha [emoji817]
Umesema ndoa nyingi hazidumu... hii inamaanisha ndoa nyingi zinavunjika..! Are you serious? Hizi stastitics mnazichukulia wapi. Mi kwa mfano mwepesi tu mwaka huu pekee nimeshuhudoa ndoa mpya 13 za ndugu jamaa na marafiki. Wakati huohuo sijashuhudia usambararikaji wa ndoa za ndugu jamaa na marafiki.

Katika historia ya maisha yangu nimeshuhudia zaidi ya ndoa 500 kati ya hizo ni tatu tu so far zimevunjika. Sasa ndoa 3 katika 500 mnachukulia ndio ndoa nyingi..

Hizi shule siku hizi mnaenda kusomea u-Cyprian Musiba?
 
Sio kila uchumba lazima ufikie kwenye ndoa

Na sio kila ndoa imeandikiwa kudumu milele na milele..ndoa ni uvumilivu na maelewano mazuri kama wawili mlioamua kuingia kwenye ndoa mkijua mmeficha madudu yenu kumbuka uongo hauwezi ishi milele mwisho wa siku kupelekea kushindwana tabia

Wawili walioamua kuingia kwenye ndoa na ikiwa mmoja wapo anatabia za ajabu lakini mwingine akangangana tu kuikubali hiyo ndoa akiamini labda ndoa yaweza mbadilisha mwenza wake na haikutokea vile alivyotaraji hapo uvumilivu hua na kikomo na ndoa huishia hapo.
 
Ndoa huwa ni pambio tu,cha muhimu ni nyie wenyewe mkubaliane kuwa mtaishi maisha yenu yote kwa pamoja kuanzia kumiliki watoto hadi mali.Kuna vitu huwa vinashawishi mtu kuishi naye,kama mmekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na hakuna kinachoeleweka,jua kuna upande umezembea.....ukishaona uko kwenye mahusiano miezi 6+ jaribu kumbadilisha mtu wako kwenye utafutaji na umiliki.Kama uwepo wako kwake ni kwa sababu ya ngono tu....lazima uhusiano uvunjike.
 
Back
Top Bottom