Nawaza nimfanye nini alienitapeli pesa zangu

Nawaza nimfanye nini alienitapeli pesa zangu

Njoo pm nikupe uchawi ambao sijaifanyia testing ukajaribu tuone kama unafanya kazi, ukileta mrejesho chanya ndo nimnyooshe mbaya wangu!!
Kwa kuanza tu tafuta kimoja wapo Kati ya havi, ukikipata njoo pm tuendelee.

a) Tafuta manyota 5 ya bawa la kushoto la bata mzinga..Au
b) Tafuta Viatu alivyowahi kutumia mhusika.

Ukipata hiyo (b) itakuwa poa sana maana ndo simple zaidi.


NOTE: 1 Hii ni kwa mleta mada tu.
2 Sitakuomba Hata sh 1 (Bure kabisa)
 
Back
Top Bottom