Hoja zipi wakati hata card ya uanachama una pesa za kwenda kijijini kwenu una hivi tumelogwa na nani wa Tanzania? Kwenye michezo majungu uko kwenye siasa balaa.Ningefurahi kama hoja zangu zingejibiwa .
Hoja zipi wakati hata card ya uanachama una pesa za kwenda kijijini kwenu una hivi tumelogwa na nani wa Tanzania? Kwenye michezo majungu uko kwenye siasa balaa.Ningefurahi kama hoja zangu zingejibiwa .
Nilijua nikimgusa Mo tu ni lazima makomandoo mtakurupuka .Hoja zipi wakati hata card ya uanachama una pesa za kwenda kijijini kwenu una hivi tumelogwa na nani wa Tanzania? Kwenye michezo majungu uko kwenye siasa balaa.
Mkuu, hayo yote kwa nini asifanye Mbagala Market au Singida United.ALIKUWA ILA MWAKA ANAMWAGA HELA PALE MSIMBAZI VIONGOZI WANAPIGA TEN PERCENT TU NA WAKATI MWINGINE HATA WACHEZAJI HAWAPATI HIZO HELA.MWAKA JANA TU WAKATI WA USAJILI KAWAPA SIMBA BILIONI MOJA NA CHENJI LAKINI NINA UHAKIKA NI WACHEZAJI WACHACHE SANA WAMESAJILIWA KWA DAU TULIOTANGAZIWA WENGI WAMEPEWA KIPOOZEA NA VIONGOZI WAKAPIGA MPUNGA MWINGINE ULIOBAKI WA MO DEWJI.NA NDIO MAANA NI AFADHALI AWE KATI YA MWENYE HISA NA MSIMAMIZI WA TIMU ILI AWEZE KUSIMAMIMIA VIZURI HELA YAKE.WENGI WASWAHILI WA DAR WANAKULA KWASABABU ZA HELA ZA SIMBA NA YANGA.SASA TIMU ITAENDELEAJE AKIWA ANAMWAGA TU HELA KWA HAWA MCHWA BILA YA USIMAMIZI.NYIE WANAUME WENGI WA DAR KUANZIA MWAKANI MTAKOMA MIFEREJI YOTE ITABANWA.
Swali lingine la msingi. Wamepaje thamani ya Simba hadi waseme billion 20 ndiyo 51%Kwanza naomba kukiri kwamba mimi ni Mwanasimba ( mmoja wa wachangiaji wa hela za kuendesha timu ) , ambaye sijaridhishwa na mchakato wa kumuuzia hisa za Simba mtu ambaye anayo historia ya wazi ya kushindwa .
Mohamed Dewji aliwahi kumiliki timu ya soka ambayo baadaye ilishuka daraja , hakuna aliyesahau hili , kama timu aliyoimilki kwa 100% iliporomoka , vipi hii 49% ? , kingine ni kwamba , huyu alikuwa mfadhili wa Singida United alipokuwa mbunge , kipi ilichofanikiwa timu ile , mbona ilishuka daraja na kupotea ? Shukrani kwa walioirejesha tena ligi kuu .
Kwenye mchakato wa kummilikisha hisa za Simba alishindanishwa na nani , yeye alipata kura ngapi na huyo mwengine alipata ngapi ? Tunauliza hivi ili baadaye msije kushikana mashati .
Majuto ni mjukuu .
Mchakato ulikuwa waz na waliombwa wote wenye interest za kununua asilimia zilizotajwa wajitokeze na hakuna aliejitokeza zaid yake so kama wewe ni mwana simba ambae unachangia kwa maelezo yale ya jumapil ungekuwa ushapata majibu.Kwenye mchakato wa kummilikisha hisa za Simba alishindanishwa na nani , yeye alipata kura ngapi na huyo mwengine alipata ngapi
Mkuu, Bi. Hindu kawekwa sawa. Bado wewe tu.Nilijua nikimgusa Mo tu ni lazima makomandoo mtakurupuka .
Acha kujichanganya kaka, Simba ilipata mafanikio chini ya Azim Dewji. MO akaleta migogoro....Kama ni mwanasimba na hujui alifanya nn katika soka hasa Simba basi kawe shabiki wa mieleka au judo.
Sijawahi kununuliwaMkuu, Bi. Hindu kawekwa sawa. Bado wewe tu.
Nilikuwa natania tu.Sijawahi kununuliwa
Kwenye mchakato yeye pekee ndiye aliyetia nia.Kwanza naomba kukiri kwamba mimi ni Mwanasimba ( mmoja wa wachangiaji wa hela za kuendesha timu ) , ambaye sijaridhishwa na mchakato wa kumuuzia hisa za Simba mtu ambaye anayo historia ya wazi ya kushindwa .
Mohamed Dewji aliwahi kumiliki timu ya soka ambayo baadaye ilishuka daraja , hakuna aliyesahau hili , kama timu aliyoimilki kwa 100% iliporomoka , vipi hii 49% ? , kingine ni kwamba , huyu alikuwa mfadhili wa Singida United alipokuwa mbunge , kipi ilichofanikiwa timu ile , mbona ilishuka daraja na kupotea ? Shukrani kwa walioirejesha tena ligi kuu .
Kwenye mchakato wa kummilikisha hisa za Simba alishindanishwa na nani , yeye alipata kura ngapi na huyo mwengine alipata ngapi ? Tunauliza hivi ili baadaye msije kushikana mashati .
Majuto ni mjukuu .
Hizo timu umetaja hazina rasilimali watu, ndio chanzo kikubwa cha kufeli.Nilikuwa natania tu.
Mfumo mpya unaweza kuwa mzuri kama utafanywa vizuri na kupewa watu stahiki. Experience ya Mo Mbagala Market na Singida United inaonyesha mashaka makubwa. Akiwa fed-up mwaka tu, ataiuza to the highest bidder.
Mkuu, rasilimali watu na fan base ni vitu viwili tofauti. Azam wana rasilimali watu wa kuendesha timu wenye sifa zote. Lakini hawana fan base kubwa.Hizo timu umetaja hazina rasilimali watu, ndio chanzo kikubwa cha kufeli.
Azam yenyewe barhresa inamsumbua.
Mkuu figisu walizofanyiwa wengine waliozitaka hizo hisa ukizijua utalia .Kwenye mchakato yeye pekee ndiye aliyetia nia.
Shusha hizo habari mkuu. Ni dhahiri ilipangwa apate yeye kwa namna yoyote ile. Kwa nini wasisogeze mbele angau wawe wawili?Mkuu figisu walizofanyiwa wengine waliozitaka hizo hisa ukizijua utalia .
Ha! Ha! Ha! Naogopa bastola mkuu .Shusha hizo habari mkuu. Ni dhahiri ilipangwa apate yeye kwa namna yoyote ile. Kwa nini wasisogeze mbele angau wawe wawili?
Umetumwa mkuuKwanza naomba kukiri kwamba mimi ni Mwanasimba ( mmoja wa wachangiaji wa hela za kuendesha timu ) , ambaye sijaridhishwa na mchakato wa kumuuzia hisa za Simba mtu ambaye anayo historia ya wazi ya kushindwa .
Mohamed Dewji aliwahi kumiliki timu ya soka ambayo baadaye ilishuka daraja , hakuna aliyesahau hili , kama timu aliyoimilki kwa 100% iliporomoka , vipi hii 49% ? , kingine ni kwamba , huyu alikuwa mfadhili wa Singida United alipokuwa mbunge , kipi ilichofanikiwa timu ile , mbona ilishuka daraja na kupotea ? Shukrani kwa walioirejesha tena ligi kuu .
Kwenye mchakato wa kummilikisha hisa za Simba alishindanishwa na nani , yeye alipata kura ngapi na huyo mwengine alipata ngapi ? Tunauliza hivi ili baadaye msije kushikana mashati .
Majuto ni mjukuu .
Kwanza naomba kukiri kwamba mimi ni Mwanasimba ( mmoja wa wachangiaji wa hela za kuendesha timu ) , ambaye sijaridhishwa na mchakato wa kumuuzia hisa za Simba mtu ambaye anayo historia ya wazi ya kushindwa .
Mohamed Dewji aliwahi kumiliki timu ya soka ambayo baadaye ilishuka daraja , hakuna aliyesahau hili , kama timu aliyoimilki kwa 100% iliporomoka , vipi hii 49% ? , kingine ni kwamba , huyu alikuwa mfadhili wa Singida United alipokuwa mbunge , kipi ilichofanikiwa timu ile , mbona ilishuka daraja na kupotea ? Shukrani kwa walioirejesha tena ligi kuu .
Kwenye mchakato wa kummilikisha hisa za Simba alishindanishwa na nani , yeye alipata kura ngapi na huyo mwengine alipata ngapi ? Tunauliza hivi ili baadaye msije kushikana mashati .
Majuto ni mjukuu .
Mkuu hakuna hoja ya kujibu hapo, mo ni mfanyabiashara kaja simba kufanya biashara na anawaeleza wazi kuwa timu itafaidika vipi na yeye atafaidika vipi mambo ya kutoa pesa za bure sasahivi hakuna, acha mambo yaendeshwe kisasa mkuu
ALIKUWA ILA MWAKA ANAMWAGA HELA PALE MSIMBAZI VIONGOZI WANAPIGA TEN PERCENT TU NA WAKATI MWINGINE HATA WACHEZAJI HAWAPATI HIZO HELA.MWAKA JANA TU WAKATI WA USAJILI KAWAPA SIMBA BILIONI MOJA NA CHENJI LAKINI NINA UHAKIKA NI WACHEZAJI WACHACHE SANA WAMESAJILIWA KWA DAU TULIOTANGAZIWA WENGI WAMEPEWA KIPOOZEA NA VIONGOZI WAKAPIGA MPUNGA MWINGINE ULIOBAKI WA MO DEWJI.NA NDIO MAANA NI AFADHALI AWE KATI YA MWENYE HISA NA MSIMAMIZI WA TIMU ILI AWEZE KUSIMAMIMIA VIZURI HELA YAKE.WENGI WASWAHILI WA DAR WANAKULA KWASABABU ZA HELA ZA SIMBA NA YANGA.SASA TIMU ITAENDELEAJE AKIWA ANAMWAGA TU HELA KWA HAWA MCHWA BILA YA USIMAMIZI.NYIE WANAUME WENGI WA DAR KUANZIA MWAKANI MTAKOMA MIFEREJI YOTE ITABANWA.