Ndugu wajajf na Watanzania kwa ujumla, nawatakia wote mwaka mpya mwema, wote tuuone salama.
Lakini pia tujihoji, tumefanya mangapi ya kumchukiza Mungu na mangapi ya kumpendeza Mungu! najua yapo mengi ambayo tumefanya yasiyompendeza Mungu, hivyo basi, mwaka 2014 uwe ni wa tofauti kwetu sote, tumpendeze Mungu, tupendane sote, tusaidiane, tusameheane, tuchukuliane na zaidi sana tuombeane mema ili mwaka huu uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi na zaidi na uwe ni mwaka wa amani kwa kila Mtanzania.
Nawatakia mwaka mpya mwema, 2014!!
Lakini pia tujihoji, tumefanya mangapi ya kumchukiza Mungu na mangapi ya kumpendeza Mungu! najua yapo mengi ambayo tumefanya yasiyompendeza Mungu, hivyo basi, mwaka 2014 uwe ni wa tofauti kwetu sote, tumpendeze Mungu, tupendane sote, tusaidiane, tusameheane, tuchukuliane na zaidi sana tuombeane mema ili mwaka huu uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi na zaidi na uwe ni mwaka wa amani kwa kila Mtanzania.
Nawatakia mwaka mpya mwema, 2014!!