nawasiwasi tunalishwa nyamafu,

nawasiwasi tunalishwa nyamafu,

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,217
pita njia kuu za kuunganisha mikoa,wilaya, kata, vijiji popote kule utaona mizogo ya mbwa,paka au wanyama wengine wasio liwa.kama utaona mbuzi,ng'ombe,kuku na n.k muda mfupi huwezi wakuta barabarani.nani anawatoa wanaenda wapi?.tunalishwa mizoga.
 
pita njia kuu za kuunganisha mikoa,wilaya, kata, vijiji popote kule utaona mizogo ya mbwa,paka au wanyama wengine wasio liwa.kama utaona mbuzi,ng'ombe,kuku na n.k muda mfupi huwezi wakuta barabarani.nani anawatoa wanaenda wapi?.tunalishwa mizoga.

wasi wasi wako nini?nani alikwambia kuna kisicholiwa???????kwa kuwa wewe una ng'ombe na mbuzi ndo unafikiri mbwa,paka,chura,kobe,nyoka walioko uchina au ujapani sio chakula?acha mawazo mgando,kila kitu kinaliwa,tofauti ni maeneo na matayarisho ya chakula husika.ukitaka kujua hakuna kisicholiwa,tafuta mkongomani umuulize
 
Wewe kula tu kwa raha zako, kama una wasiwasi usile.
Hofu yako inatokana na nini; afya au imani yako?
 
pita njia kuu za kuunganisha mikoa,wilaya, kata, vijiji popote kule utaona mizogo ya mbwa,paka au wanyama wengine wasio liwa.kama utaona mbuzi,ng'ombe,kuku na n.k muda mfupi huwezi wakuta barabarani.nani anawatoa wanaenda wapi?.tunalishwa mizoga.
Chiumbi Mnungu cha kumenenwa................................Nkialu Mkunza mkatile nnama.............Kiingiacho hakimtii mtu unajisi ila kitokacho
 
Heading umeanza vizuri,ila ulipoanza maelezo ya chini ndio ukaingia chaka. Kwa hiyo kwa uelewa wako,usipoona mzoga barabarani unajua watu wameishakula?

Kwa taarifa yako (sijui uko sehemu gani) hata huko machinjioni unakoamini sana,ungejua yanayofanyika huko,ungeishaacha kula nyama kabisa.

Wewe ulishajiuliza kama wale kuku au ng'ombe wanaosafirishwa kutoka mikoani kwenda miji mikubwa kama dar ni wagapi wanafia njiani? Wanazikwa au wanatupwa wapi? Au ndiyo hiyo mizoga unayoona baraarani?
 
wasi wasi wako nini?nani alikwambia kuna kisicholiwa???????kwa kuwa wewe una ng'ombe na mbuzi ndo unafikiri mbwa,paka,chura,kobe,nyoka walioko uchina au ujapani sio chakula?acha mawazo mgando,kila kitu kinaliwa,tofauti ni maeneo na matayarisho ya chakula husika.ukitaka kujua hakuna kisicholiwa,tafuta mkongomani umuulize

Mkuu, umeniwahi tu kwa jibu hilo.
Ndugu yetu huyu aangalie asijekuwa wa kwanza kufa kwa njaa kwa kuwa 'too selective' na maswali mengi yaendanayo na chakula. Hongera.
 
Aisee mimi sili nguruwe lakini nyama ya nguruwe naijua kwa kuiona tu na kuinusa....Kwahio ukilishwa kitu ambacho hukijui lazima utashtukaaa..texture itakuwa tofauti hio ni guarantee!!!
 


hata kama umetukana kimoyo moyo,na we mwenyewe hivyo hivyo
Hapana kaka siwezi kutukana mimi ninatoka kwenye ilee dini yetu tunayokula walee mbuzi wa dini yatu walionona kuliko wengine. Kwenye hiyo dini mbali na kula kitoweo hicho kitamu , tumekatazwa kata kata kutoa lugha chafu ya matusi, kashfa au dharau. nimerejea utamaduni wa baadhi ya mila za kitanzania kudhibitisha kuwa kwetu asili ya watanzania suala la nyama sio issue sana ukiona yoyote inakufaa kwa kitoweo nayo haikuletei madhara basi kula mkuu labda kabila husika liwe limetoa makatazo ya kitoweo hicho kwa sababu za kiasili .Maana ya neno la kwanza watu wa kusini watanisaidia ila ninajua linamaanisha kuwa KILICHOUMBWA NA MUNGU NI CHA KULIWA. HIVYO WANAKUBALI VITOEO VYOTE BILA KUJALI NI MNYAMA GANI, KACHINJWA AU KANYONGWA AU KAJIFIA MWENYEWE. NANO LA PILI NI LUGHA YA KINYIRAMBA WAISHIO SINGIDA AMBALO LINAMAANISHA KUWA UKIMUONDOA FIFI NGOZI YAKE ANAKUWA NYAMA KAMA NYAMA NYINGINE. HIVYO WAMEALALISHA NYAMA ZOOTE BAADA YA KUONDOLEWA NGOZI AMBAYO HUTOFAUTISHA WANYAMA KWA NJE ILA NDANI WOOTE NI NYAMA TUU NA ZINAFANANA.Hivyo mkuu kwa ushahidi huo ni wazi maneno hayo haramu, kibudu sii misamiati wala asili ya Mtanzania ni mila za wakoloni walizotuleteaa


 
Ndio unafahamu leo? Nyama zinazochinjwa na mtu wa dhehebu tofauti na lako pia ni sawa na nyamafu.... Fuateni Kosher
 
Ndio unafahamu leo? Nyama zinazochinjwa na mtu wa dhehebu tofauti na lako pia ni sawa na nyamafu.... Fuateni Kosher

Tulianza vizuri huko juu lakini hapa naona tunaelekea kusiko, nahisi harufu flani!
 
Hapana kaka siwezi kutukana mimi ninatoka kwenye ilee dini yetu tunayokula walee mbuzi wa dini yatu walionona kuliko wengine. Kwenye hiyo dini mbali na kula kitoweo hicho kitamu , tumekatazwa kata kata kutoa lugha chafu ya matusi, kashfa au dharau. nimerejea utamaduni wa baadhi ya mila za kitanzania kudhibitisha kuwa kwetu asili ya watanzania suala la nyama sio issue sana ukiona yoyote inakufaa kwa kitoweo nayo haikuletei madhara basi kula mkuu labda kabila husika liwe limetoa makatazo ya kitoweo hicho kwa sababu za kiasili .Maana ya neno la kwanza watu wa kusini watanisaidia ila ninajua linamaanisha kuwa KILICHOUMBWA NA MUNGU NI CHA KULIWA. HIVYO WANAKUBALI VITOEO VYOTE BILA KUJALI NI MNYAMA GANI, KACHINJWA AU KANYONGWA AU KAJIFIA MWENYEWE. NANO LA PILI NI LUGHA YA KINYIRAMBA WAISHIO SINGIDA AMBALO LINAMAANISHA KUWA UKIMUONDOA FIFI NGOZI YAKE ANAKUWA NYAMA KAMA NYAMA NYINGINE. HIVYO WAMEALALISHA NYAMA ZOOTE BAADA YA KUONDOLEWA NGOZI AMBAYO HUTOFAUTISHA WANYAMA KWA NJE ILA NDANI WOOTE NI NYAMA TUU NA ZINAFANANA.Hivyo mkuu kwa ushahidi huo ni wazi maneno hayo haramu, kibudu sii misamiati wala asili ya Mtanzania ni mila za wakoloni walizotuleteaa



NA HILO LI AVATAR LAKO MKUU,UTAKULA HATA MTU AISEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom