Nawashauri wanaCCM kumpuuza Membe

Nawashauri wanaCCM kumpuuza Membe

Huyu kiumbe anatafuta attention sana,nakumbuka baada ya maamuzi kutolewa na kamati Kuu ya kuwa katimuliwa chamani alijitutumua kujibu mapigo lakini alipuuzwa,

Ikaja korona akaibukia DW( Deutch welle),akakomaa tutatengwa,akaona kimya hakuna aliemjibu,kifupi alipuuzwa.

Nashauri kwa kauli zake za jana trh 19/06/2020 huko kijijini kwake Londo, Lindi,ni muendelezo wa kutafuta attention,akijibiwa ni kumpaisha ,apuuzwe tu,chama kiendelee na taratibu kilizojiwekea bila ya kusemezana nae,litakuwa ni anguko lake bila kutumia nguvu kumuangusha
Bahati mbaya au nzuri akili hua zinawarudia wakishakuwa nje ya system. Hata hawa wanaotoa povu wakitolewa leo, kesho watajiunga kutaka Tume huru.
 
Huyu kiumbe anatafuta attention sana,nakumbuka baada ya maamuzi kutolewa na kamati Kuu ya kuwa katimuliwa chamani alijitutumua kujibu mapigo lakini alipuuzwa,

Ikaja korona akaibukia DW( Deutch welle),akakomaa tutatengwa,akaona kimya hakuna aliemjibu,kifupi alipuuzwa.

Nashauri kwa kauli zake za jana trh 19/06/2020 huko kijijini kwake Londo, Lindi,ni muendelezo wa kutafuta attention,akijibiwa ni kumpaisha ,apuuzwe tu,chama kiendelee na taratibu kilizojiwekea bila ya kusemezana nae,litakuwa ni anguko lake bila kutumia nguvu kumuangusha
Membe anawasumbua sana ccm na mkimpuuzia mtaona matokeo yake. Na mkiaach ashindane kwa haki na jiwe Membe anaibuka mshindi asubuhi sana.
 
Kauli yako hii Katiba chini vya Magufuli ni kama gazeti la udaku siyo ya kusema ukweli bali ya mtu aliyekata tamaa.

Sina chembe ya shaka ya nilichokisema. Ukiona mtu anasaka kinga ya kutoshtakiwa, hapo jua katiba kwake ni kama novel tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kama unajua maana na thamani ya raslimali muda, usingeleta lawama na madai ya Tume Huru mitandaoni.

Najua ninachokisimamia. Mitandao ni platform huru za kisasa za kuweka wazi misimamo ya mtu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwenzio Mwigulu huko povu kama lote, mpaka amejikuta anaandika kwa herufi kubwa. Sio kwamba ccm hawataki kukaa kimya, ila watakaaje kimya wakati yeye anaongelea tume huru ya uchaguzi? Ifahamike kuwa hii tume isiyo huru ya uchaguzi, ndio roho ya ccm kuendelea kukaa madarakani.
Huu ndo ukweli wenyewe.Watanzania sasa hawataki kuisikia ccm,wamebaki kulazimisha kutawala.Wengi hawataenda kwenye maigizo ya uchaguzi
 
Huyu kiumbe anatafuta attention sana,nakumbuka baada ya maamuzi kutolewa na kamati Kuu ya kuwa katimuliwa chamani alijitutumua kujibu mapigo lakini alipuuzwa,

Ikaja korona akaibukia DW( Deutch welle),akakomaa tutatengwa,akaona kimya hakuna aliemjibu,kifupi alipuuzwa.

Nashauri kwa kauli zake za jana trh 19/06/2020 huko kijijini kwake Londo, Lindi,ni muendelezo wa kutafuta attention,akijibiwa ni kumpaisha ,apuuzwe tu,chama kiendelee na taratibu kilizojiwekea bila ya kusemezana nae,litakuwa ni anguko lake bila kutumia nguvu kumuangusha
Membe ameongea ukweli mtu.CCM KUNA FOMU MOJA TU YA KUWANIA URAIS
 
Huyu kiumbe anatafuta attention sana,nakumbuka baada ya maamuzi kutolewa na kamati Kuu ya kuwa katimuliwa chamani alijitutumua kujibu mapigo lakini alipuuzwa,

Ikaja korona akaibukia DW( Deutch welle),akakomaa tutatengwa,akaona kimya hakuna aliemjibu,kifupi alipuuzwa.

Nashauri kwa kauli zake za jana trh 19/06/2020 huko kijijini kwake Londo, Lindi,ni muendelezo wa kutafuta attention,akijibiwa ni kumpaisha ,apuuzwe tu,chama kiendelee na taratibu kilizojiwekea bila ya kusemezana nae,litakuwa ni anguko lake bila kutumia nguvu kumuangusha
Kosa lake ni nini kweli, tukumbushane kama lipo
 
Back
Top Bottom