Mimi ni mwanaccm nisiyepepesa macho. Unajua baada ya Mbowe kupata nafasi ya umwenyekiti uchaguzi wa kwanza alipata wabunge wangapi na madiwani ktk nchi nzima kama hujui jitahidi kufuatilia historia ya vyama vingine usiishi kwa mazoea kujifunza ni ni kujiondolea ukilema mku.aliemuingiza dr chadema sio ishu tunaangalia impact yake kwenye chama....Mbowe huyo huyo ndio aliemuingiza Lowasa ......tunajua dr alijiunga chadema baada ya kudhulumiwa kugombea ubunge karatu
Mbowe alipogombea urais alipata kura ngapi?.........na dr.slaa alipogombea urais alipata kura ngapi?....Mbowe hana impact yoyote chadema anabebwa tu na mkwe wake MteiMimi ni mwanaccm nisiyepepesa macho. Unajua baada ya Mbowe kupata nafasi ya umwenyekiti uchaguzi wa kwanza alipata wabunge wangapi na madiwani ktk nchi nzima kama hujui jitahidi kufuatilia historia ya vyama vingine usiishi kwa mazoea kujifunza ni ni kujiondolea ukilema mku.
Kiongozi bora Afrika Mashariki unambeza wakati amebadilisha Siasa za hapa nchini hivi ni sehemu gani ya nchi utazungumzia hiki chama hakipo na kukita mizizi kabisa. Mwisho tumewafunga spidi gavana kwa kazi kubwa aliyoifanya
Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!
Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!
Bora aendelee kuwa CHADEMA ili hata wale waliomwita fisadi papa wakose la kusema.Huyu Lowasa mnaesema hasafishiki mbona hamumpeleki Mahakamani?..
Mmekuwa kama 'Kasuku' bana kurudia rudia jambo hilo hilo kila wakati ,jambo lenyewe halina maana na la kijinga kabisa .
TrueBora aendelee kuwa CHADEMA ili hata wale waliomwita fisadi papa wakose la kusema.
Note: CCM hawakuwahi kumtaja lowasa kuwa ni fisadi ila waliamini kile walichosema upinzani kuwa hafai ndio hata sababu kubwa ya kukatwa. Otherwise CCM wangejikuta kwenye wakati mgumu sana kwenye kampeni kumnadi.
Huyu ni mlanguzi na mchuuzi wa siasa ndiyo maana alimuuzia Lowasa chama choooooote kwa bei ya jumlaMbowe alipogombea urais alipata kura ngapi?.........na dr.slaa alipogombea urais alipata kura ngapi?....Mbowe hana impact yoyote chadema anabebwa tu na mkwe wake Mtei
Kama mnaweza nanyinyi shindeni kwa mbavu tuone!Mbona ushindi wa mabavu?hadi muue watu.....acheni uchaguzi uwe huru, sio maagizo kutoka juu eti ....nakulipa mshahara na gari nakupa mm halafu umtangaze mpinzani kashinda....ccm wepesi sana.
Hujui usemalo bora ungejinyamazia tuMimi ni mwanaccm nisiyepepesa macho. Unajua baada ya Mbowe kupata nafasi ya umwenyekiti uchaguzi wa kwanza alipata wabunge wangapi na madiwani ktk nchi nzima kama hujui jitahidi kufuatilia historia ya vyama vingine usiishi kwa mazoea kujifunza ni ni kujiondolea ukilema mku.
Kiongozi bora Afrika Mashariki unambeza wakati amebadilisha Siasa za hapa nchini hivi ni sehemu gani ya nchi utazungumzia hiki chama hakipo na kukita mizizi kabisa. Mwisho tumewafunga spidi gavana kwa kazi kubwa aliyoifanya
Hata kama Mbowe ndiye aliyemuingiza Dr. Slaa chadema bado Dr. Slaa alifanya kazi kubwa ya kujenga chama kuliko huyo Mbowe wako! Ukitaka kujua hilo tafuta tofauti ya kura za urais alizopata Mbowe fananisha na kura alizopata Dr. Slaa.Aliyemwingiza Dr Chadema ni nani zaidi ya Mbowe mku ktk siasa ww ni mpya kwa hiyo hujui ndo maana unakuja na jibu kama hili .Hivi unajua kisa cha Dr kujiunga na upinzani
Mku hata majibu yako yalivyo mepesi yanamaanisha ni mtu wa kurahisisha mamboHujui usemalo bora ungejinyamazia tu
Mku kocha mchezaji habahatishi ktk usajili na katika usajili timu ni Msajili bila Msajili ni bure kabisaHata kama Mbowe ndiye aliyemuingiza Dr. Slaa chadema bado Dr. Slaa alifanya kazi kubwa ya kujenga chama kuliko huyo Mbowe wako! Ukitaka kujua hilo tafuta tofauti ya kura za urais alizopata Mbowe fananisha na kura alizopata Dr. Slaa.
Mbowe yupo kimasrahi zaidi ndiyo maana hataki kuachia uenyekiti wa chama.
Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!