king suleman JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 1,749 Reaction score 1,153 Sep 25, 2017 #101 desmond dekker said: kwa mtu mwenye busara kama wewe mfalme suleman sioni kama ni jambo gumu kumjua ke au me Click to expand... Sawa C Kwamba Huwez Kujua Kabsa Ila Mpaka Ucheki Kwa Profily C Huwa Unaona Mtu Anapost Thread Mchangiaji Anauliza We Ni Me Au Ke....Ok
desmond dekker said: kwa mtu mwenye busara kama wewe mfalme suleman sioni kama ni jambo gumu kumjua ke au me Click to expand... Sawa C Kwamba Huwez Kujua Kabsa Ila Mpaka Ucheki Kwa Profily C Huwa Unaona Mtu Anapost Thread Mchangiaji Anauliza We Ni Me Au Ke....Ok
smallvile JF-Expert Member Joined Sep 12, 2012 Posts 492 Reaction score 238 Sep 25, 2017 #102 Unapotoa wasifu wao unasema kwamba ni wazuri INA maana unawajua Kwa sura au wameweka dp zao za uhalisia,, kuhusu wasifu wa uchangiaji humu ndani sina swali
Unapotoa wasifu wao unasema kwamba ni wazuri INA maana unawajua Kwa sura au wameweka dp zao za uhalisia,, kuhusu wasifu wa uchangiaji humu ndani sina swali