NGUVUMOJA
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,347
- 325
Kwa maisha tuliyonayo sasa ni vigumu kujitenga na siasa. Kwa maana hiyo basi nimeonelea niingie kwenye siasa kikamilifu.
Nataka kuanzisha chama cha siasa.
Swali ninalojiuliza je ni chama cha mrengo gani kitakachofaa kuondoa shida zetu lukuki bila kurudia makosa yaliyo/yanayofanywa na vyama vilivyopo kwenye usajili hivi sasa?
Naambiwa na baadhi ya watu kuwa chama kinachoshika hatamu kimejaa "mafisimaji"
Kingine kinachofatia nyayo kimejaa watu wa eneo fulani na dini fulani pia naambiwa kimejaa 'udikteta'
pia kuna kingine naambiwa kimetekwa kwa kuwa 'Maalim' wake kaingizwa kwenye system si mpinzani tena.
Tena kuna vingine vilishakufa siku nyingi, yamebakia majina tuu.
Kumbe kuna vingine vya msimu tu basi. Nakumbushwa vingine ni vya mtu na mkewe ndio waliohodhi uongozi!!!!!!
Makosa yooote hayo sitaki kuyarudia kwenye chama kipya!!!!
Tunataka chama saaafi na viongozi wake wawe wasafi na wenye uwezo wa kutoa maamuzi magumu na siasa/malengo yake yawe saaafi!!!!
TUIJENGE CHI YETU KWA PAMOJA.
Nataka kuanzisha chama cha siasa.
Swali ninalojiuliza je ni chama cha mrengo gani kitakachofaa kuondoa shida zetu lukuki bila kurudia makosa yaliyo/yanayofanywa na vyama vilivyopo kwenye usajili hivi sasa?
Naambiwa na baadhi ya watu kuwa chama kinachoshika hatamu kimejaa "mafisimaji"
Kingine kinachofatia nyayo kimejaa watu wa eneo fulani na dini fulani pia naambiwa kimejaa 'udikteta'
pia kuna kingine naambiwa kimetekwa kwa kuwa 'Maalim' wake kaingizwa kwenye system si mpinzani tena.
Tena kuna vingine vilishakufa siku nyingi, yamebakia majina tuu.
Kumbe kuna vingine vya msimu tu basi. Nakumbushwa vingine ni vya mtu na mkewe ndio waliohodhi uongozi!!!!!!
Makosa yooote hayo sitaki kuyarudia kwenye chama kipya!!!!
Tunataka chama saaafi na viongozi wake wawe wasafi na wenye uwezo wa kutoa maamuzi magumu na siasa/malengo yake yawe saaafi!!!!
TUIJENGE CHI YETU KWA PAMOJA.