mjomba2011
Member
- Nov 16, 2011
- 24
- 7
Ngoma mbona ziko nyingi mpyampya we mbona wachagua ya zamani ?
Nijuavyo mm mwanamke aliyempenda mmewe mpaka kuolewa nawe na mwanamke muelewa anayeijua thaman ya ndoa yake hawezi from no where akanza vituko km hivyo,lzm kuna chanzo cha tatizo,watu tunatofautiana km mwanaume umeshajua mapungufu ya mkeo tafuta namna kumweka sawa mapema na kuwa na mawasiliano mazuri na kuwa mnamaliza tofauti ndogo ndogo zinazotokea kabla hayajawa makubwa na kumpelekea kuanza vituko na mwanaume kuchiti km suluhisho!wanawake huwa hawafanyi jambo bila sababu!
ila kweli wanawake visirani vinatuponza kwenye nyumba. ilo sina upinzani cz kila kitu kina ukweli.
baelezee!
Nijuavyo mm mwanamke aliyempenda mmewe mpaka kuolewa nawe na mwanamke muelewa anayeijua thaman ya ndoa yake hawezi from no where akanza vituko km hivyo,lzm kuna chanzo cha tatizo,watu tunatofautiana km mwanaume umeshajua mapungufu ya mkeo tafuta namna kumweka sawa mapema na kuwa na mawasiliano mazuri na kuwa mnamaliza tofauti ndogo ndogo zinazotokea kabla hayajawa makubwa na kumpelekea kuanza vituko na mwanaume kuchiti km suluhisho!wanawake huwa hawafanyi jambo bila sababu!
ah Edo kumbe unatamani, mi nilidhani unataka kunipa zawadi ya x-mas.Huu ndo uungwana, hongera kwa kuwa mkweli Sister! Natamani ningekupa zawadi ya x-mass kwa uungwana wako, natumaini ni funzo kwetu sote.
Hapa Jamvi haipiti wiki hujaona umeshushwa uzi kidole kaelekezewa Mwanaume.
Kidole cha lawama na mashambulizi makalimakali, maneno kama :
> Wanaume hawaridhiki.
> Wanaume wengi baadhi yao hawatosheki.
> Wanaume wengi baadhi yao malaya. N.k
Husikika maneno kama haya with releated matter ! Nachukua fursa hii kukubali lawama hizo na nitoe mifano michache visababishi vya hayo yanayolalamikiwa.
1. Mume amerudi kunako kazi/mihangaiko ana mfuko wa mazagazaga mkononi huamki kumpokea wala nini.
2. Anakusalim "habari za hapa" unajibu "nzuri" umemaliza, huku domo umelivuta kutoka hapo ulipokaa kwenye kochi hadi linakaribia kugusa screen ya Tv, kisa umeomba akufanyie safari uwende kwenu kwenye harusi ya mdogo wako ukaambiwa haitowezekana kwa kua financial mambo sio January iko mbele shughuli za kifedha zitakua nyingi.
3. Kufuatia visirani kuongezeka kinachofata ni unaanza kumjibu majibu ya dry yanayomtia mwanaume hasira na mnaanza kutupiana maneno yanayozaa bifu kamili.
4. Kinachofata ni kutogusana kitandani. Ambapo Biological organs hazitambui bifu lenu.
5. Kinachofata mwanaume ni kuangalia atakapopata utulivu! Anaanza ku'cheat .
6. Kama inavyokua wanawake wanaobahatika kuangukiwa na waume wa wenyewe hujituma isivyo kawaida ufundi atakaoupata kule hujikuta kwako haupati.
Anaanza kulowea hadi mke unajua.
Hapa nani mchawi ? Kama sio wanawake wenyewe ?
na siyo kila sababu lazima unune, na kuna sababu unaweza kuona ya kununa kumbe mwenzio anaona ya kawaida. na sijasema kama mim niko hvyo ila nimeongelea kwa uelewa wangu na watu niliowaona wengi wao wako hvyo.Iv mwenze2 unaweza ukaamka 2 afu ukawa na kisiran tena kwa mumeo bila sababu ya msing mh litakuwa pepo ilo mamie. we endelea wajanja watamuwah mumeo afu ndio litakutoka ilo pepo. unanuna kwa sababu jaman sio unanuna tuu mh. ndoa zitawashinda mapema mbona.
ila kweli wanawake visirani vinatuponza kwenye nyumba. ilo sina upinzani cz kila kitu kina ukweli.
na siyo kila sababu lazima unune, na kuna sababu unaweza kuona ya kununa kumbe mwenzio anaona ya kawaida. na sijasema kama mim niko hvyo ila nimeongelea kwa uelewa wangu na watu niliowaona wengi wao wako hvyo.