Nawakumbusha kuwa mtavuna mlichokipanda

Nawakumbusha kuwa mtavuna mlichokipanda

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,798
Reaction score
13,033
Kwenye vitabu vya dini imeandikwa utavuna ulicholipanda.utawala huu umepanda mauaji,ufisadi,unakandizaji wa democrasia yaani umepanda maovu kila sehemu.

Yaani utawala huu umepanda umauti kwenye nchi yetu.umauti wa demokrasia,umauti wa watu,umauti wa maadili yaani watu kutekwa na kufanyiwa vitu vichafuNk.

Kwa kuwa utawala huu umepanda umauti na wenyewe utapata umauti ni suala la muda tu.kwa sababu damu za watanzania zinamlilia Mungu na pia Mungu aliona mateso ya wapinzani na watu wengine waliotekwa.

Kwa hiyo ni suala la muda tu na nyie wenyewe mnaona utawala unavyotapatapa ni process tu.mauaji na mateso ya watanzania hayayasahauliki wala kusameheka kwa sababu mmekataa kutubu na kunyenyekea ni suala la muda tu.
 
Kwenye vitabu vya dini imeandikwa utavuna ulicholipanda.utawala huu umepanda mauaji,ufisadi,unakandizaji wa democrasia yaani umepanda maovu kila sehemu.

Yaani utawala huu umepanda umauti kwenye nchi yetu.umauti wa demokrasia,umauti wa watu,umauti wa maadili yaani watu kutekwa na kufanyiwa vitu vichafuNk.

Kwa kuwa utawala huu umepanda umauti na wenyewe utapata umauti ni suala la muda tu.kwa sababu damu za watanzania zinamlilia Mungu na pia Mungu aliona mateso ya wapinzani na watu wengine waliotekwa.

Kwa hiyo ni suala la muda tu na nyie wenyewe mnaona utawala unavyotapatapa ni process tu.mauaji na mateso ya watanzania hayayasahauliki wala kusameheka kwa sababu mmekataa kutubu na kunyenyekea ni suala la muda tu.
ramli zingine ni nonsense na za kindezi mno, gentleman,

ni wazi nonsense past decisions zinawasulubisha mno mioyoni, nadhani huo ni mwanzo tu na ndo kwanza hata mwaka wa kwanza haujaisha:pulpTRAVOLTA:
 
Kwenye vitabu vya dini imeandikwa utavuna ulicholipanda.utawala huu umepanda mauaji,ufisadi,unakandizaji wa democrasia yaani umepanda maovu kila sehemu.

Yaani utawala huu umepanda umauti kwenye nchi yetu.umauti wa demokrasia,umauti wa watu,umauti wa maadili yaani watu kutekwa na kufanyiwa vitu vichafuNk.

Kwa kuwa utawala huu umepanda umauti na wenyewe utapata umauti ni suala la muda tu.kwa sababu damu za watanzania zinamlilia Mungu na pia Mungu aliona mateso ya wapinzani na watu wengine waliotekwa.

Kwa hiyo ni suala la muda tu na nyie wenyewe mnaona utawala unavyotapatapa ni process tu.mauaji na mateso ya watanzania hayayasahauliki wala kusameheka kwa sababu mmekataa kutubu na kunyenyekea ni suala la muda tu.
Spirit of death is really haunting the rulers, in the realm of spirit world they are deemed as the walking corpses.
 
Ww ni mzee wa hovyo kabisa.
Gentleman,
hali ya kujutia uamuzi nonsnse, hususani wa kususia uchaguzi mkuu, utawasukutua mioyo hadi ichakae na kujikuta kila moja akiongea pekeyake barabarani :pedroP:
 
Kwenye vitabu vya dini imeandikwa utavuna ulicholipanda.utawala huu umepanda mauaji,ufisadi,unakandizaji wa democrasia yaani umepanda maovu kila sehemu.

Yaani utawala huu umepanda umauti kwenye nchi yetu.umauti wa demokrasia,umauti wa watu,umauti wa maadili yaani watu kutekwa na kufanyiwa vitu vichafuNk.

Kwa kuwa utawala huu umepanda umauti na wenyewe utapata umauti ni suala la muda tu.kwa sababu damu za watanzania zinamlilia Mungu na pia Mungu aliona mateso ya wapinzani na watu wengine waliotekwa.

Kwa hiyo ni suala la muda tu na nyie wenyewe mnaona utawala unavyotapatapa ni process tu.mauaji na mateso ya watanzania hayayasahauliki wala kusameheka kwa sababu mmekataa kutubu na kunyenyekea ni suala la muda tu.
Dua la kuku. Huo msemo ni kwa ajili ya watenda Haki na hauwahusu wafitini, waongo, wenye chuki na hila. Tuliona maandamano yalivyoambatana na wizi, uporaji, Nia ya kuua na kuharibu Mali za wasio wanachadema n.k.
 
Ujinga tu ,uliona wapi mtawala anayependwa na wote so mfanye uchochezi na vurugu ,halafu muangaliwe tu..Muharibu mali muangaliwe tu ,peleka ufala wako .
 
Dua la kuku. Huo msemo ni kwa ajili ya watenda Haki na hauwahusu wafitini, waongo, wenye chuki na hila. Tuliona maandamano yalivyoambatana na wizi, uporaji, Nia ya kuua na kuharibu Mali za wasio wanachadema n.k.
Wajinga hao ,tena unakuta kiongozi wa dini kabisa ..Wamebaki kupiga ramli hawa waganga wavaa suti.😅😅
 
Kwenye vitabu vya dini imeandikwa utavuna ulicholipanda.utawala huu umepanda mauaji,ufisadi,unakandizaji wa democrasia yaani umepanda maovu kila sehemu.

Yaani utawala huu umepanda umauti kwenye nchi yetu.umauti wa demokrasia,umauti wa watu,umauti wa maadili yaani watu kutekwa na kufanyiwa vitu vichafuNk.

Kwa kuwa utawala huu umepanda umauti na wenyewe utapata umauti ni suala la muda tu.kwa sababu damu za watanzania zinamlilia Mungu na pia Mungu aliona mateso ya wapinzani na watu wengine waliotekwa.

Kwa hiyo ni suala la muda tu na nyie wenyewe mnaona utawala unavyotapatapa ni process tu.mauaji na mateso ya watanzania hayayasahauliki wala kusameheka kwa sababu mmekataa kutubu na kunyenyekea ni suala la muda tu.
Itasikitisha na kushangaza sana hawa waovu wakiendelea kuwa miongoni mwa jamii, wakifurahia matunda ya uovu wao baada ya kutupwa nje..

Taifa hili haliwezi kutulia bila ya hawa watu waovu kabisa kuwajibishwa kwa matendo yao maovu.

Serikali itakayokuwa madarakani nayo ikiendelea kuwalinda hawa itakuwa haina tofauti yoyote na wahalifu hawa.
 
Inasemekana mama yao uwa anaenda kufanya ibada kwa mkuu wa dunia hii. Hapo ndo anapoahidi mapipa ya damu za watu. Msipoomba mtakufa muishe.
 
Back
Top Bottom