Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,456
- 7,029
Pilau always inaendana na sikukuu
Kula ubwabwa na vyoda acha kuuliza uliza bwasheeIkiwa kesho (jumapili) ndiyo siku aliyofufuka YESU, basi wasabato wako sahihi, jumamosi ndiyo sabato, siku sahihi ya kuabudu sasa kwanini tunaabudu jpili.
Msaada najaribu kuwaza tu juu ya tuliyoaminishwa
Mimi sinywi kesho😁😁jiran mm jion nikaribishe tunywe bia Binti Sayuni03 hapo mbezi ulipo ni mwendo wa dk 20 tu
Uchoyo tu. 😔😔😔Mimi sinywi kesho😁😁
Kimbia bar iliyo karibu naweUchoyo tu. 😔😔😔
IpiKwa hiyo kiti moto ya mafuta hivyo , hiyo mboga ilikua inafaa kabisa 😃
Mkuu hivi kuna tofauti gani kati ya Easter na PassoverKesho NI siku ya Kula vitu vizuri na kushushia mvinyo
Mimi Kesho nakula Ugali mlaini,majani ya kunde na hiyo kitu hapo chini 👇
View attachment 3309874
View attachment 3309875
JE WEWE KESHO UNATARAJIA KULA CHAKULA GANI???
Passover is the Jewish celebration of the exodus of the Jews from slavery in Egypt. Easter is the Christian celebration of the resurrection of Jesus from the dead.Mkuu hivi kuna tofauti gani kati ya Easter na Passover
Kwa hiyo kumbe ni Sikukuu mbili tofautiPassover is the Jewish celebration of the exodus of the Jews from slavery in Egypt. Easter is the Christian celebration of the resurrection of Jesus from the dead.
NdioKwa hiyo kumbe ni Sikukuu mbili tofauti
Kiti moto hatari.Kesho NI siku ya Kula vitu vizuri na kushushia mvinyo
Mimi Kesho nakula Ugali mlaini,majani ya kunde na hiyo kitu hapo chini 👇
View attachment 3309874
View attachment 3309875
JE WEWE KESHO UNATARAJIA KULA CHAKULA GANI???
Ya kunduMajani ya kundu ndio kitu gani?
Kwani siku zingine huli chakula?Kesho NI siku ya Kula vitu vizuri na kushushia mvinyo
Mimi Kesho nakula Ugali mlaini,majani ya kunde na hiyo kitu hapo chini 👇
View attachment 3309874
View attachment 3309875
JE WEWE KESHO UNATARAJIA KULA CHAKULA GANI???
Ya kupika mwenyewe hainogagiLEO NI MWENDO WA KULA NYAMA YA NGURUWE TU 🤣🤣🤣