Inog01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,286
- 1,938
Ndugu wanajamvi,
Kutokana na kuongezeka kwa wimbi la tatizo la upungufu wa nguvu za kiume hivo naomba kujuzwa zaidi na wataalamu na wazoefu wa mambo hayo kama ni miongoni nwao na je nifanyaje ili kuwa katika hali ya kawaida na kuondokana na tatizo jingine msongo wa mawazo.
Katika makuzi yangu zikujihusisha sana na kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza nimefanya tendo hilo nikiwa na miaka18 nakumbuka niliperfom vinzuri sana.Ilinichukua tena kama miaka 5 mingine kufanya mapenzi hapo ufanisi ulipungua ,kabla ya mara hii ya pili nilijihusisha sana na kujichua kutokana na mazingira niliyokuwepo na nimeendelea na mtindo huo kwa mda ingawa nilitamani kuacha ila nilikuwa nashindwa.
_Kilicho nisibu hadi kuomba ushauri ni kuwa wiki kadhaa zilizopita nilifanya mapenzi ila niliwahi sana kufika ni kama ndani ya dakika mbili ama tatu tu afu ikanywea haraka sana,ilinichukua mda kuanza tena na hali ilikuwa ile ile ndani ya dakika moja nilifadhaika sana.Sikuwa na uwezo wa kuendelea japo akili ilikuwa inataka mwili ulikataa kabisaa.Siku hizi hata nikiamka asubuhi ngoma imelala tu. Naona aibu hata kufanya mapenzi tena maana natakuwa namchezea binti wa watu.
Naomba kujua kama naweza kuwa fresh na je nifanyaje kwa tatizo hili?
Kutokana na kuongezeka kwa wimbi la tatizo la upungufu wa nguvu za kiume hivo naomba kujuzwa zaidi na wataalamu na wazoefu wa mambo hayo kama ni miongoni nwao na je nifanyaje ili kuwa katika hali ya kawaida na kuondokana na tatizo jingine msongo wa mawazo.
Katika makuzi yangu zikujihusisha sana na kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza nimefanya tendo hilo nikiwa na miaka18 nakumbuka niliperfom vinzuri sana.Ilinichukua tena kama miaka 5 mingine kufanya mapenzi hapo ufanisi ulipungua ,kabla ya mara hii ya pili nilijihusisha sana na kujichua kutokana na mazingira niliyokuwepo na nimeendelea na mtindo huo kwa mda ingawa nilitamani kuacha ila nilikuwa nashindwa.
_Kilicho nisibu hadi kuomba ushauri ni kuwa wiki kadhaa zilizopita nilifanya mapenzi ila niliwahi sana kufika ni kama ndani ya dakika mbili ama tatu tu afu ikanywea haraka sana,ilinichukua mda kuanza tena na hali ilikuwa ile ile ndani ya dakika moja nilifadhaika sana.Sikuwa na uwezo wa kuendelea japo akili ilikuwa inataka mwili ulikataa kabisaa.Siku hizi hata nikiamka asubuhi ngoma imelala tu. Naona aibu hata kufanya mapenzi tena maana natakuwa namchezea binti wa watu.
Naomba kujua kama naweza kuwa fresh na je nifanyaje kwa tatizo hili?