Kwenye smart TV kwa ajili ya matumizi gani mkuu?Naweza kuitumia kwenye smart TV?
Bei ipo chini hapo mwisho wa picha 40000 ila maongezi yapoBei gani?,maana bei sijaiona hapo
Internet TvKwenye smart TV kwa ajili ya matumizi gani mkuu?
owk sawa mkuu,inafaaInternet Tv
Acha kuitikia tu, tv ikishakuwa smart means tayari inaweza kupokea internet through Wi-Fi, sasa hizo adapter zako ni kwa ajili ya pc ambazo hazina Wi-Fi. Haya kwenye smart tv hiyo driver itai install vp kwa kutumia hiyo CD???owk sawa mkuu,inafaa
Kabisaaaa mkuu! Atufafanulie hii kitu maana hizo driver huwezi kuziweka kwenye TV.Acha kuitikia tu, tv ikishakuwa smart means tayari inaweza kupokea internet through Wi-Fi, sasa hizo adapter zako ni kwa ajili ya pc ambazo hazina Wi-Fi. Haya kwenye smart tv hiyo driver itai install vp kwa kutumia hiyo CD???
Internet TvKwenye smart TV kwa ajili ya matumizi gani mkuu?
mkuu tatizo una kariri sana sio smart tv zote zinauwezo wa kudaka wireless internet toka mbali utakuta ni mita kadhaa tu inaishia. hii itakurahisishia kukamata mita 300 toka tv yako au device yako ilipo, hii itakuwa kama booster kwako,tuje kwa hizo driver umeuliza jinsi ya kuinstal hapa nimecheka kwa jinsi usipo jua hii bidhaa na ukaanza kubisha kama ushaitumia vile anyway ngoja nikujibu, kama ifuatavyo,hii adaptor ukitaka kwa ajili ya tv hutotumia cd yake driver.kwa nini hutotumia cd driver ni kwa sababu tv huwezi share hotspot yenyewe ina receive tu na sio kutoa internet kwenda divice nyingine,hata desktop unaweza tumia hii adaptor bila kuinstal hizo driver na kupata wireless internet zilizo karibu yako but zikiingia kwako hutowez kushare na device nyigine mpaka uinstal driver zake ndipo utaweza share na device nyingine.maamuzi ni yako mtumiaji uinstal hiyo driver au laa.kwa tv utatumia tu bila driver zake coz hii adaptor haihitaji driver ndio ifanye kazi hata yenyewe tu inapiga mzigo .asanteeeeAcha kuitikia tu, tv ikishakuwa smart means tayari inaweza kupokea internet through Wi-Fi, sasa hizo adapter zako ni kwa ajili ya pc ambazo hazina Wi-Fi. Haya kwenye smart tv hiyo driver itai install vp kwa kutumia hiyo CD???
Unapatikana wapi? Nahitaji kwenye smart TV yangu na ikikubali kufanya kazi unayosema ninakulipa pesa yako.mkuu tatizo una kariri sana sio smart tv zote zinauwezo wa kudaka wireless internet toka mbali utakuta ni mita kadhaa tu inaishia. hii itakurahisishia kukamata mita 300 toka tv yako au device yako ilipo, hii itakuwa kama booster kwako,tuje kwa hizo driver umeuliza jinsi ya kuinstal hapa nimecheka kwa jinsi usipo jua hii bidhaa na ukaanza kubisha kama ushaitumia vile anyway ngoja nikujibu, kama ifuatavyo,hii adaptor ukitaka kwa ajili ya tv hutotumia cd yake driver.kwa nini hutotumia cd driver ni kwa sababu tv huwezi share hotspot yenyewe ina receive tu na sio kutoa internet kwenda divice nyingine,hata desktop unaweza tumia hii adaptor bila kuinstal hizo driver na kupata wireless internet zilizo karibu yako but zikiingia kwako hutowez kushare na device nyigine mpaka uinstal driver zake ndipo utaweza share na device nyingine.maamuzi ni yako mtumiaji uinstal hiyo driver au laa.kwa tv utatumia tu bila driver zake coz hii adaptor haihitaji driver ndio ifanye kazi hata yenyewe tu inapiga mzigo .asanteeee