Sidhani ila utunzaji wa chakula husika na viungo au mchanganyiko wake ulivyo
Tulia edit post.Nina duka la vyombo vya ndani jikoni na mapambo vya kisasa kbs mfano sufuria ambazo hazipoozeshi chakula na vingine vingi unaletea au kutumiwa ulipo bea nzr njoo Dm ukipendaView attachment 892892
itabidi unipe hela nikununulie kisha nikuletee maana pale kaandika mwanamke jiko na wewe sasa hutaweza kwenda dukani hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa (jokes)Ook kuna mtu mmoja aliwahi kuniambia kuna sufuria zinafanya chakula kuoza haraka m
Sawa utanitakutumia pesa PM.itabidi unipe hela nikununulie kisha nikuletee maana pale kaandika mwanamke jiko na wewe sasa hutaweza kwenda dukani hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa (jokes)
Ushauri mzr snUshauri wa soko;kama unamzigo mkubwa tembelea mkoa wowote nenda maeneo ya wilayani tafuta wakala(awe mwalimu wa msingi/sekondari) ongea naye lugha ya biashara;mpelekee mzigo akopeshe walimu na watu wengine, we mwisho wa mwezi ni kupata marejesho.Fanya hivyo kwa mikoa mitano.Then,uje unishukuru baadaye.