Nauza Vitz

Nauza Vitz

Kama kweli unaweza kupata kwa 5M poa si biashara bana lakini hii nnayozungumzia mimi ni 7.5M
sawa pale pana madalali lakini mi si dalali
 
Gar hii ni fuel economy, ongeeni bishara sasa acheni stori
 
Show room ngapi umeenda ukakosa Vitz kwa mil 8?

6M ni ndogo sana kulingana na sababu zifuatazo:


Odometer bado ipo chini;
Gari bado ipo kwenye hali nzuri;
Colour ya gari ipo bomba tofati na zile rangi nyingine;
Kama ukiamua kuagiza JAPAN kwa sasa hutopata kwa bei hiyo;
Ukinunua kwenye YARD zetu za kuuzia magari hapa bongo pia huwezi kukuta bei hiyo;

Katika mauzo haya hakuna dalali mimi ndo mmiliki mwenyewe

Naweza kufanyia 7.5M
 
show room kibao tu, haalafu tambua kuwa TRA wamebadilisha namna ya kukokotoa kodi na usisahau kuwa dola ipo juu
 
weka namba tuwasiliane wamichosho

Mkuu hiyo bei ulioiweka ni halali kabisa mimi nina magari mawili Vitz 2003 na Rav 4 kwa sasa ukiyalinganisha kwa jinsi Vitz ilivyo economy kwenye mafuta nainjoy kweli anyway ni gari ndogo lakini kwa mishemishe za hapa mjini mbona ukiweka lita 5 unainjoy sana mkuu...hata unipe 10m siwezi kuiuza hii vitz yang tena rangi Gold ambayo nikipita nayo kila mtu inamvutia...hapo kama mko serious changamkieni hiyo gari ni nzuri sana na engine yake ni VVTI...
 
ukishaangalia hiyo picha nicheki kwa no 0713632526 during work hours (between 09:00 to 15:30)
 
picha hizo zilipigwa muda wa jioni na ilkuwa kuna kivuli cha mti hvyo ilikuwa inafanya reflection ya mwanga gari ipo bomba ongea biashara
 
Vp 6m unachukua mkuu tufanye biashara ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom