Chimulenge
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 218
- 147
- Thread starter
- #21
Bado vipo mkuu. Karibu sanaBado Vipo?
Bado vipo mkuu. Karibu sanaBado Vipo?
Unachukua vitu vyote?Bado Vipo?
Naomba msaada , nina king' amuzi cha azam ila mvua ikinyesha kidogo kinapoteza dira kulikoni ? Nipo Kerege Ccm Bagamoyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka hicho cha Azam kisimbuzi na dish kwa 50, tufanye mchakato kwa sasa nikurushie hata kwa njia ya cm tuyajenge nipo MzKama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ving'amzi havijawahi kufungwa ni vipya, jiko na gesi ni used ila mtungi wake ni mpya na uko full gesi, na microwave ni used. Naviuza vitu vyote kwa bei ya Laki tano vitu vipo Mwanza kama una vihitaji njoo uchukukue.
View attachment 1365788View attachment 1365788View attachment 1365789
Hapana mkuu siyo kwa bei hiyoNataka hicho cha Azam kisimbuzi na dish kwa 50, tufanye mchakato kwa sasa nikurushie hata kwa njia ya cm tuyajenge nipo Mz
Sent using Jamii Forums mobile app
Please Dstv kula fifty mkuuKama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ving'amzi havijawahi kufungwa ni vipya, jiko na gesi ni used ila mtungi wake ni mpya na uko full gesi, na microwave ni used. Naviuza vitu vyote kwa bei ya Laki tano vitu vipo Mwanza kama una vihitaji njoo uchukukue.
View attachment 1365788View attachment 1365788View attachment 1365789
Hicho kuna mtu kashakichukuaNataka cha dstv complete kina bei gan? Niko mkolani mz
Huna kingine labda?Hicho kuna mtu kashakichukua
Ilikuwa ni dstv na azam tu kakaHuna kingine labda?
Mwisho wako kwa bei ya hicho cha Azam ni ipi ie; huwezi kupunguza?Ilikuwa ni dstv na azam tu kaka
Laki moja mkuu, nimetoa 45. Karibu hakijawahi kufungwaMwisho wako kwa bei ya hicho cha Azam ni ipi ie; huwezi kupunguza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Laki moja mkuu, KaribuMicrowave iko wapi na bei gani?
Okey sawa mkuu, tatizo wa pamoja nayo imekuwa tatizo.Usikubali kuuza kimoja kimoja mkuu, nimeona hapo juu Laki Tano haifiki.... komaa na bei ya jumla wasikupotoshe.