Nauza vikapu kwa jumla

Nauza vikapu kwa jumla

mapundapetro

Member
Joined
Dec 5, 2016
Posts
38
Reaction score
17
Habari zenu wakuu kwanza napenda kuwapa hongera wote kwa ushindi mno wa 22-0 japo wengine hawapewa kombe lao.

Pili napenda kupongeza Harmonize kwa show kali kafunika japo kuteleza sio kuanguka tukanyanyuka tens.

Tatu nina biashara yangu ipo sokoni ya vikapu vya kubebea mahitji madogo madogo unapoenda sokoni endapo kama utakuwa na mahitaji mengi ya kununua.

Nipo Dar es Salaam maeneo ya Airport ndiko nidhaa hizi zinapatikana kwa wingi jumla reja reja kwa wanaokaa mbali na Dar es salaam wanatumiwa pia.


Mawasiliano piga simu.
0688802481
0745299167

20200828_173907.jpg
 
Back
Top Bottom