dume la kenge
Senior Member
- Apr 12, 2017
- 177
- 240
Niko mwanza ila nataka nihamie nchi jirani nina flat screen ya startimes inch 40 ,ni hd nimeinunua tarehe tatu mwezi wa nane mwaka huu, kwa maana ya kwamba ndo ina mwezi moja na wiki mbili, mbezi luis ,dar karibu na round about.
Kila kitu bado kipo Nataka mtu wa kunirudishia tu hela yangu mtu anayeishi dar au mwanza ndo atanipata kwa urahisi.
tv inatumia king'amuzi cha startimes na dstv tu ina king'amuzi cha ndani bei ni 840000 kwa mtu anaishi dar ikiwa ni pamoja na nauri ya kuisafirisha kwa mtu wa mwanza ni 820000 tsh namba ya cm 0789284092
Kila kitu bado kipo Nataka mtu wa kunirudishia tu hela yangu mtu anayeishi dar au mwanza ndo atanipata kwa urahisi.