hahahahahahahahaha
nacheka jina la kunambi hahahaha
sounds so fun.
anyway mkuu muuza gari naomba uitetee bei yako ya 5.5 milion kwani naona wabongo mkishajifunza kutamka bei huwa hamuweki wazi why that price. pls itetee ili nijue ni-burgain au nikimbie (yote haya kwa kuwa hujaweka pichaz)