Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

Izdoli

Member
Joined
May 15, 2014
Posts
15
Reaction score
15
Waungwana wa JF nauza sofa Tsh 500,000 tu kwa zote tatu, Zipo Ubungo Dar es Salaam.

Kwa maelezo zaidi phone No,0713 418 321
 

Attachments

  • IMG-20170616-WA0003.jpg
    IMG-20170616-WA0003.jpg
    66.8 KB · Views: 172
  • IMG-20170616-WA0004.jpg
    IMG-20170616-WA0004.jpg
    50.9 KB · Views: 132
  • IMG-20170616-WA0005.jpg
    IMG-20170616-WA0005.jpg
    32.2 KB · Views: 131
Waungwana wa JF nauza vitu tajwa hapo juu, pia viko kwenye picha ..sofa ni Tsh 500,000 tu kwa zote tatu, na vyombo vya biashara ya chakula ni Tsh 1000,000 nimeatach list ya vitu hapo chini. vitu vipo Ubungo Dar es Salaam.

Kwa maelezo zaidi phone No,0713 418 321
Hauna kabati la chips?
 
Mkuu kwanini unaviuza?

Umebanwa na shida au unahama mji?

Sijui umri wako upoje ila naamin wewe ni kijana

Na naona kabisa vitu hivyo ni muhimu sana kwako in terms of ujasiliamali


Anyway Goodluck mkuu

Naamin utapata mteja ambaye hatakulalia
 
Ukipata wateja wengi,nishtue maana nami ninauza vya kwangu!
 
Mkuu kwanini unaviuza?

Umebanwa na shida au unahama mji?

Sijui umri wako upoje ila naamin wewe ni kijana

Na naona kabisa vitu hivyo ni muhimu sana kwako in terms of ujasiliamali


Anyway Goodluck mkuu

Naamin utapata mteja ambaye hatakulalia
Biashara ngumu mkuu,watu tunauza tukalime tu
 
Biashara unafanyia wapi mkuu?

Nini hasa kimekushinda?

Kwanini usibadilishe mazingira

Kuna wanaofeli katika kilimo vipi na huko ukifeli utahamia kwenye kuku au

Nakushauri simamia ulichokianzisha ukipita kwenye changamoto ndo mwanzo wa ku-win.
Asante sana kwa ushauri wako mzuri!

Ila nimeamua kufanya mambo mengine na endapo yatakwama nitajaribu kitu kingine mpaka nipate jawabu la maisha yangu
 
Asante sana kwa ushauri wako mzuri!

Ila nimeamua kufanya mambo mengine na endapo yatakwama nitajaribu kitu kingine mpaka nipate jawabu la maisha yangu
Okey poa poa bosi,
Lakini usiwe una give up mapema,

Changamoto ndo lesson yenyenyewe otherwise husmin katika kile unachokifanya,

Wapiganaji tuna kanuni moja we pambana ukisnguka inuka vumilia halafu pambana.
 
Nimeona orodha bila bei, ungeweka bei ni rahisi kwa mtu kuamua kama anaweza kununua ama la
Punguza maswali kwa kukamilisha maelezo
 
Back
Top Bottom