Nauza sofa na fridge

Nauza sofa na fridge

]Hapa nataka hela kwa hio nimeamua kuuza sofa langu na fridge bei sofa ni 160000 na fridge ni 150000.contact 0652002828.napatikana buza kanisani/dar es salaam
 
f34617225d2a98a690231fcfa4b6c634.jpg
Mbona friji halina vinywaji/
 
Hilo friji lina kutu kwa chini aisee...
Hapo cha kununua ni sofa tu.
Friji ina kutu ukicheki kwa ndani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom