Siyo ya wizi hiyo?, nyaraka za mkopo unazo? Wakopeshaji huwa wanachukua kwa kila mwezi mpaka pesa ikamilike. Wewe unataka kuwalipa kabla ya muda wa marejesho kufika?
Siyo ya wizi hiyo?, nyaraka za mkopo unazo? Wakopeshaji huwa wanachukua kwa kila mwezi mpaka pesa ikamilike. Wewe unataka kuwalipa kabla ya muda wa marejesho kufika?
Swali lako silijibu Kwa sababu unauliza kana kwamba unanijua Mimi ni mwizi. Yeyote mwenye uhitaji lakini ana mashaka kama ya huyu, njoo inbox na nitakuonesha vielelezo kama ni mhitaji.