Nauza simu aina ya iPhone 6S, Nzuri sana, bei nzuri

Nauza simu aina ya iPhone 6S, Nzuri sana, bei nzuri

Simu ni nzuri sana toka nnje ya nchi,

simu sio korosho, hakuna ambayo inatoka ndani ya nchi

punguza bei, iphone 6 tena sio hata plus ina gb 16 used kwa laki 7.5 hata jeshi hawatanunua
 
simu sio korosho, hakuna ambayo inatoka ndani ya nchi

punguza bei, iphone 6 tena sio hata plus ina gb 16 used kwa laki 7.5 hata jeshi hawatanunua
Hin shida toa offa yako mkuu!
 
Angalia vizuri bei yako mkuu
Screenshot_20181122-205934.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom