Bado ipo
Sawa sawa,ndo maneno yenu mnayojifariji nayo ila ukweli unaujua kwamba huna uhuru na simu jela yako.Level yako ni techno
Sema bibie,mama yako huyo16GB mkuu, risiti ipo
Upo we mwanamkeIna risiti za kununulia upya? Ni GB ngapi?
Hujajibu...
Ina risiti za kununulia upya? Ni GB ngapi?
Ukorofi huo chief.wacha ajeUtaweza kununua wewe ajuza?
Sio kushindwa ila nilisafiri! Nimerudi upya! Mana kuna waliokua wamefika bei nikawa niko mbali! Nimerudi naona mambo yao ni mang’anaUkinunua iphone 16 gb
Ni full majanga atleast kuanzia 32 gb inakua imetulia.nadhani ndo maaana muuzaji kaishindwa