Mkuu Mjema Juniour, maeneo kuzunguka hotel ya kiromo yapo chini ya mradi wa EPZ na watu wameambiwa wasiyaendeleze. Na ka eka kumi eneo hilo na najua ninalolisemea kwani napakana na hiyo hotel. Ni angalizo tu...mtu anaweza kuamua kujilupua.EPZ ipo zinga boss,waweza fika ofisi za halmashauri ya bagamoyo kupata uhakika.
Ni vema kutoa angalizo Mkuu,mimi ninaifahamu hiyo ramani ya EPZ,haijafika kiromo,imechukua eneo la Zinga,pande hadi Mlingotini.hata hivyo eneo ninalouza lipo KIJIJI CHA BUMA.Kama nia yako ni njema tafadhali lizungumze hili bila kulipindisha.AsanteMkuu Mjema Juniour, maeneo kuzunguka hotel ya kiromo yapo chini ya mradi wa EPZ na watu wameambiwa wasiyaendeleze. Na ka eka kumi eneo hilo na najua ninalolisemea kwani napakana na hiyo hotel. Ni angalizo tu...mtu anaweza kuamua kujilupua.
Mkuu unadhani kuweka bei inatisha au kuogopesha..?nimeweka Mawasiliano hapo,Kwa mwenye nia ya dhati awasiliane nami,wapo watu kadhaa tayari wamefanya hivyo.Shamba hilo linahati za serikali ya Mtaa tokea MWAKA 2011.Nilifuata taratibu zote za serikali ya Mtaa,ikiwemo kulipia ushuru.Kwanini unaogopa kuweka Bei lakini?
Wakuu Kwa wanaoifahamu Buma,shamba/Kiwanja hicho kipo mita mia tano hivi tokea ofisi ya MtaaWakuu nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari moja,(mita 70x70) lipo Buma kiromo bagamoyo.ni shamba zuri na tambarare.Kwa mwenye kuhitaji au maswali apige namba 0717 166455
Mkuu unadhani kuweka bei inatisha au kuogopesha..?nimeweka Mawasiliano hapo,Kwa mwenye nia ya dhati awasiliane nami,wapo watu kadhaa tayari wamefanya hivyo.Shamba hilo linahati za serikali ya Mtaa tokea MWAKA 2011.Nilifuata taratibu zote za serikali ya Mtaa,ikiwemo kulipia ushuru.
Kumbe ulikuwa unatafuta ushindi Mkuu,loh sikujua.Kama unahitaji shamba nipigie.wengine wenye nia washafanya hivyo.Nahitaji wenye nia ya kununua,sio wanaotafuta kushindana Kwa hojaUmejitahidi sana kujibu hoja ya Kiromo kua chini ya EPZ au lah. But linpokuja suala la bei unakua bubu, huonyeshi ushirikiano, NINI UNAFICHA??????????
Kumbe ulikuwa unatafuta ushindi Mkuu,loh sikujua.Kama unahitaji shamba nipigie.wengine wenye nia washafanya hivyo.Nahitaji wenye nia ya kununua,sio wanaotafuta kushindana Kwa hoja
Ameeeen!!!!!!!Tayari wamenipigia Mkuu.Ubarikiwe ...