Hadi maji yapo???
za siku mkuu,Haitembei hiyo mkuu. Nulinunua hilo shamba 3.5m.
Kuna spirit ilikua imenijia ya kupanda migomba baada ya kuona uzi mmoja wadau ukiwemo wewe wanazungumzia zao hilo kama ni kitu ambacho kinalipa ila navyoona hapa sasa moyo unakwisha kabisa