Nauza shamba heka 10 Morogoro

Nauza shamba heka 10 Morogoro

samlai

Senior Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
149
Reaction score
98
Salaam,

Nauza shamba heka 10.Zote nataka milioni 3 na nusu.

Mimi mwenyewe ndio muhusika.

Anayehitaji tuwasiliane PM, Pia nitumie na namba yako ya simu kwa maelezo zaidi.

Asanteni.
 
Salaam,

Nauza shamba heka 10.Zote nataka milioni 3 na nusu.

Mimi mwenyewe ndio muhusika.

Anayehitaji tuwasiliane PM, Pia nitumie na namba yako ya simu kwa maelezo zaidi.

Asanteni.

Lipo sehemu gani?
 
lipo eneo gani?.je linastawi mazao gano. Likp karibu na mto?
 
Lipo maeneo ya mvomelo sehem inaitwa stopa. Cyo mbali kutoka moro mjini. Nijipya kabisa
 
Lipo maeneo ya mvomelo sehem inaitwa stopa. Cyo mbali kutoka moro mjini. Nijipya kabisa
Ni jipya kivipi? Kwamba ni Pori? Lina vivutio vipi labda kama vile mito, Barabara, au??
 
gari inafika shambani wakati wa masika? kuna chanzo gani cha maji wakati wa kiangazi? ni porini au kuna makazi/mashamba ya watu yaliyoendelezwa jirani?
 
Mkuu haupo serious kabisa na kuuza hilo shamba,weka details za kutosha kama ulivyoulizwa na wadau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom