Laki 9 mbona nyingi Mkuu??Wadau nauza shade mita 4kwa 6 fund alizidsha vipimo hivyo limebakia kubwa sana. Unaweza litumia kwa ajili ya car parking au sehemu ya kupumzika ni nzur sana.View attachment 652887 0713401812
Kitambaa Laki tisa?Nauza kitambaa tu.
MUONGOZO: Zingatia haya unapoweka tangazo lako!Hyo lak 9 umepata wap mkuu sijataja bei hyo
😀😀😀😀Laki 9 mbona nyingi Mkuu??
Au wauza na hizo Chuma zake pia??
wakaanza na negotiation kabisaUsipopangiwa au kutajiwa bei unajipangia tu mwenyewe Shem wangu
ha ha ha laki tisa inapendezaUsipopangiwa au kutajiwa bei unajipangia tu mwenyewe Shem wangu
Sasa si ndio utajeeHyo lak 9 umepata wap mkuu sijataja bei hyo
Naweka minaneha ha ha laki tisa inapendeza
hahaha hakuna jinsi inabidi wasaidiwe tu kuwekewa bei hawajui sheria na mashart ya hili jukwaa