Nauza sandals za kimasai

Hivi wazalishaji wakuu wa hii bidhaa ni nani na-watu wa wapi hasa?
Hapo mwanzo niliamini watengenezaji pengine ni Wamaasai na makabila mengine lakini ya TZ.
Majuzi nilikuwa Nairobi-Kenya nimeona hata kule baadhi ya Wamaasa wanashughulika nayo hii shughuli pia vilevile pamoja na makabila mengine.

Lakini pia, Kuna mdau aliwahi kunidokeza kuwa hata Waganda kwao hii bidhaa ipo pia na kwa wingi.

'Nasanganyikiwa kabisa'.

Lazima ipo sehemu iliyoanza au ambako ndiko inakozalishwa kwa wingi zaidi. Je, ni wapi, Ni Nchi gani hasa?

Wewe unashughulika nazo pengine unao mwanga kiasi kama si wakutosha.

Asante.
 
Namba 43 naipata kwa bei gan hiyo ya 4 kutoka juu?
 
Kuna rangi ya shanga hapo ilivyopangwa nimetamani ingekua cheni ya kiunoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…