Andymswati
New Member
- Oct 26, 2018
- 2
- 1
Nothing
Unajua maana ya 9.5K???Nauza Samsung galaxy note 8 used 3months 9.5k
Contract..07591111017
Location...mikocheni Dar
Hao ndio wasomi wetu wa sasa, si waona hata tangazo kiingereza kingiUnajua maana ya 9.5K???
Kama hujui acha nikusaidie tu 9.5K ni elfu tisa na mia tano.
Mimi huwa nikiona herufi K tu nakuwa nawaza mengine kabisa... Nawaza K-vantUnajua maana ya 9.5K???
Kama hujui acha nikusaidie tu 9.5K ni elfu tisa na mia tano.
sawa MR CheusiMimi huwa nikiona herufi K tu nakuwa nawaza mengine kabisa... Nawaza K-vant
Yaani mkuu mimi nilitaka nimepa 12k cash nyingine akanywee soda yaani Elfu 9 na mia tanoUnajua maana ya 9.5K???
Kama hujui acha nikusaidie tu 9.5K ni elfu tisa na mia tano.
Mdada wa chuo anunue simu ya laki tisa kwa boom!Bidhaa nyingine ukishazitoa dukani kupata wateja/mteja mtaani mmmhhh Labda kule maofisini/vyuoni hasa kwa wadada wakiwa na boom.
Kila la kheri ila sitashangaa kuendelea kusikia nauza nauza!!Des, Xmas's, mwaka mpya,jan kodi,ada za watoto + Samsung Note 8 kwa 9.5k