Nauza Samsung galaxy note 8 used 3months 9.5k

Bidhaa nyingine ukishazitoa dukani kupata wateja/mteja mtaani mmmhhh Labda kule maofisini/vyuoni hasa kwa wadada wakiwa na boom.
Kila la kheri ila sitashangaa kuendelea kusikia nauza nauza!!Des, Xmas's, mwaka mpya,jan kodi,ada za watoto + Samsung Note 8 kwa 9.5k
 
Bidhaa nyingine ukishazitoa dukani kupata wateja/mteja mtaani mmmhhh Labda kule maofisini/vyuoni hasa kwa wadada wakiwa na boom.
Kila la kheri ila sitashangaa kuendelea kusikia nauza nauza!!Des, Xmas's, mwaka mpya,jan kodi,ada za watoto + Samsung Note 8 kwa 9.5k
Mdada wa chuo anunue simu ya laki tisa kwa boom!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom