Nauza Samsung galaxy note 4 brand new Unopened

Nauza Samsung galaxy note 4 brand new Unopened

Trustworth_man

New Member
Joined
Jan 6, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Wadau wanaJF

Wanajamii nauza Samsung Galaxy note 4 kwa bei ya hasara 1.2 million mana nimenunua 1.45million ..brand new sijafungua bado, nahitaji hii hela kwa sababu ya dharura ya kifamilia

Mawasiliano piga simu 0766315158
 
1.2m ndo bei yake sokoni mkuu.....sasa ww utauzaje hiyo hiyo tena.....kama ulinunua 1.4m ulishikwa
 
1.2m ndo bei yake sokoni mkuu.....sasa ww utauzaje hiyo hiyo tena.....kama ulinunua 1.4m ulishikwa

Ukishasikia mtu ana matatizo ya kifamilia usimkatishe tamaa unless km ww huna familia au unatoka katika familia za mfano wa kina Chenge,
 
Asante kwa ushauri ... ila bei nliyonunua ni 1.4 Kama mnunuzi nipigie ..hatuta shindwa elewana. . Nnahitaji hii hela Haraka. .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom