Nauza samaki, toa oda yako

ormystatus

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
262
Reaction score
464
Namba: 079 531 536 9

Changu: Kilo 9,500/=

Wapo Mafia, dakika 40 tu kwa usafiri wa ndege mpaka Dar.

Wahi kuweka order yako, ikifika kilo 50 wanaletwa.

Wafanyabiashara wa Jumla pia mzigo unapatikana. Usiogope kuweka order.

Namba: 079 531 536 9
 
Namba: 079 531 536 9

Changu: Kilo 9,500/=

Wapo Mafia, dakika 40 tu kwa usafiri wa ndege mpaka Dar.

Wahi kuweka order yako, ikifika kilo 50 wanaletwa.

Wafanyabiashara wa Jumla pia mzigo unapatikana. Usiogope kuweka order.

Namba: 079 531 536 9

 
Namba: 079 531 536 9

Changu: Kilo 9,500/=

Wapo Mafia, dakika 40 tu kwa usafiri wa ndege mpaka Dar.

Wahi kuweka order yako, ikifika kilo 50 wanaletwa.

Wafanyabiashara wa Jumla pia mzigo unapatikana. Usiogope kuweka order.

Namba: 079 531 536 9
Changu Ni wazuri sana kwa soup + chapati 😋😋😋
 
Ahsante sana mkuu . Nalipa kwanza au nikipokea mzigo ndo nalipa?
Seriously nahitajika kg3 location tutaambiana kwa simu.
Ukipokea mzigo ndo unalipa kaka., naomba namba yako au nitafute kwa namba yangu hiyo.

Naomba tu mzigo ukifika msighaili sina friji kaka, mnaweza nigombanisha na mwenye mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…