inachanganywa na chakula cha kuku ngombe ni nzuri sana kwa kunenepeshea mifugo, pia wanachomea tofali. mambo mengi tu mkuu.
ahsante sana mkuu nimekupata.Samahani kaka/dada, hiyo ngumu hatuchanganyi kwenye chakula cha mifugo. Hiyo inafaa kwa kuchomea matofari na kufanya matandiko kwenye mabanda ya kuku au kuweka kwenye mashamba kama mbolea. Kwenye chakula cha mifugo huwa tunatumia rice polishing (hizi ni pumba ambazo ni zile laini zenye kuchanganyika na punje za mchele), hizi ndo utakuta akina bibi wanapepeta kwa ajili ya kupata chenga za mchele wa kutengenezea unga wa vitumbua.