leonard mwenda
JF-Expert Member
- Nov 5, 2015
- 253
- 64
Mimi nina pikipiki aina ya Yamaha Dt175 nipo Dar naiuza fasta,iko katika hali nzuri. Ukiihitaji ni PM.
Sema bei mkuu.
daa mkuu, mi nina milion moja, kisha nipo dar, yaani natafuta kwa udi na uvumba, ambaye yupo dar anauza piki piki aina ya fekon anichek faster kwa 0757950376,hata leo naitaka
Ipo sanlg 150cz ina mwezi mmoja inauzwa 1.5m
Ni PM kama ww ni serious buyer!