Nauza Pikipiki aina ya SanLG

Nauza Pikipiki aina ya SanLG

Joined
Mar 30, 2015
Posts
17
Reaction score
2
Wadau nauza hiyo Pkpk kwa laki 7 kwa hasira maana kaniuzi Dereva wangu sina hamu tena na bodaboda nimeinyang'anya nipo mayo tu sijahangaika kwa lolote naona bora niiuze tu umiza kichwa napatikana Kimara au ubungo lkn kwa yeyote yule karibu kwa naomba 0784791233 Au 0713791233 au 0765791233.
 

Attachments

  • 1428930408345.jpg
    1428930408345.jpg
    85.1 KB · Views: 524
  • 1428930441996.jpg
    1428930441996.jpg
    67.7 KB · Views: 442
  • 1428930479703.jpg
    1428930479703.jpg
    88.5 KB · Views: 452
  • 1428930519771.jpg
    1428930519771.jpg
    94.8 KB · Views: 545
Laki tatu cash IPO,pikpik imechoka sana iyo Alf namba ya zamani.
 
Bado haijauzika kila MTU anapiga simu anaishia kusema atakuja kiucheki lkn Hamna aliyetokea mpaka sasa
 
Bado haijauzika kila MTU anapiga simu anaishia kusema atakuja kiucheki lkn Hamna aliyetokea mpaka sasa
Kuwamtulivu,huwezi kupost jana tu na ukauza kirahisi,humu kuna watu wanauza magari tangu mwaka jana na bado wanaendelea kunadi.
Sasa kama watu wamepiga simu wamekuambia wanakuja kuicheck na siku yenyewe umepost jana na leo haijaisha jua ni ishara nzuri,wenzio hata ku beep hawa bipiwi.Sasa hujui kama kuna dharura za kibinaadam na pia wengine hadi watafute fundio wajenae kuikagua.

Na ukipigia saana debe ndio watu wanaogopa.
Kuwa mpole utauza tu.
 
Pikipiki ni Honda, Yamaha, BMW na Suzuki. Hizo sijui Sanlg na Toyo ni baiskeli zenye mota
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom