Nauza pikipiki aina ya fekon

A M. Lyimo

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
50
Reaction score
27
Nipo goba kwa ndambi. Nimeinunua tarehe 30/11/2013. Nikaitumia kibiashara kwa miezi 3 kisha nikaipaki tu ndani. Mwezi huu mwanzoni nikampa kijana mwingine akaanza longo longo sasa biashara imenishinda. Naiuza kwa shilingi za kitanzania 1,300,000/= mwenye kuihitaji awasasiliane na mimi kwa namba hii 0654241194
 
'kula laki saba mkuu fasta ipo hapa'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…