Nipo morogoro mjini, pikipiki ni sinoray bado mpya ina miezi 4 tangu inunuliwe documents zote zipo,kwa anahitaji tuwasiliane bei TSh.2200000
Samahani kwa usumbufu! Nilitaka tu kufahamu uliinunua shilingi ngapi?Nipo morogoro mjini, pikipiki ni sinoray bado mpya ina miezi 4 tangu inunuliwe documents zote zipo,kwa anahitaji tuwasiliane bei TSh.2200000
Inauzwa 2.7MSamahani kwa usumbufu! Nilitaka tu kufahamu uliinunua shilingi ngapi?
Mkuu umekokotoaje? Nitoe gizani nijifunze kitu maana nami nahitaji hizi kitu.hiyo Bei yake ni 1.5M kwasababu
10000*30=300,000*4=1,200,000/=
Bei ya kununulia 2.7M-1.2M =1.5M
Yaani muuzaji kesha kula military ni 1.2 tangu ainunue kwahiyo haiwezi kuwa na thamani aliyoandika yeye Bali thamani ni sawa bei ya kununulia pikipiki to uliyokula ndo bei ya kuuzia.Mkuu umekokotoaje? Nitoe gizani nijifunze kitu maana nami nahitaji hizi kitu.
Ebu nisaidie kujua namna kukokotoa thamani ya pikipiki used.Yaani muuzaji kesha kula military ni 1.2 tangu ainunue kwahiyo haiwezi kuwa na thamani aliyoandika yeye Bali thamani ni sawa bei ya kununulia pikipiki to uliyokula ndo bei ya kuuzia.
Uliza imetumika kwa muda gani na ilinunuliwa shingapi ikiwa mpya.Ebu nisaidie kujua namna kukokotoa thamani ya pikipiki used.