Kwisimla
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 203
- 112
Hapana ni wake kabisa, ila ili kuwa salama na kupata haki yake stahiki atafute Kibali cha kuuvuna. Anzia na ofisi ya kijiji / mtaa, maana hao ndio wanaujua mti na wewe wanakujua. Watakuandikia barua kupeleka ofisi ya maliasili halmashauri. Hao maliasili watakuelekeza zaidi ikiwa pamoja na malipo unayopaswa kulipa.Huo mti si wako kabisa halafu kama utaamua uuchane ww, gharama utakazoingia zitakuwa kubwa kuliko utakachopata. Wewe chukua 300+ fanya yako. Pia ikitokea Kijiji wana mradi wao, wanaweza kujenga hoja wautumie huo mti na huwezi kuuzuia. SIWA WAKO. Hiyo nchi sheria zake mbovu za kuwabana raia wake ndio chanzo cha umaskini wake.