habari wakuu nauza modemu mbili ya airtel zte mf 190 na voda ni huawei zote ni used bei tshs.20000/=,pia zinatumia laini zote kwa maana zimechakachuliwa.
niko dar es salaam sina kamera wala simu yenye kamera ndo maana nimeshindwa kuweka picha ila kwa aliye tayari tuwasiliane kupitia 0715404808.