- Thread starter
- #21
230000 mkuu
ongeza 20k tu boss nkuachie
230000 mkuu
haina -tatizo loloteunauza ina tatizo gani
1.ilikuja kama zawadi toka dubaiMimi naomba unip.m majibu ya maswali haya:
1. Umeinunua wapi, sh ngap?
2. Hapa TZ imetumika one week huko nje imetumika muda gan?
3. Kama umenunua hapa tz duka gani na kwa sh. Ngap?
ndiooooooooooooMkuu bado ipo?